Mlaani hapa kiongozi aliyekukosea

Mimi nasema waliouza Masaki na Oysterbay kwa kujuana na kwa hela mbuzi sana , hii imewakatili vizazi vingi kutoishi maisha niliyowahi kuishi

Sijui huko mikoani kama bado kuna maeneo yaliyoitwa uzunguni yenye nyumba za vigae vya mkoloni kama bado kuna nyumba za serikali
 
Nikiwataja hapa itakuwa nouma lakini.. Mungu yupo na walipanda vyeo sababu yakukomesha mimi..
 
Walaaniwe Viongozi wote wanaojilimbikizia mali kwa kuvuja mali za umma na wanaowatoa wengine kafara ili wapate vyeo au wabaki madarakani.
 
Walaaniwe wote waliompinga Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…