Kuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
Yes,Kuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
Nswalu/ndalu.Noma sana.Kwa Wahehe na Wabena, "mkunungu"?
Yakikauka yanatengeneza mlenda bila bamia ila yakiwa mabichi ili yatengeneze mlenda inabidi kutumia na bamia?ndio ni majani ya maboga a.k.a msusa na yakifanywa hivyo unavyosema huitwa nswalu, pia huweza kupikwa yakiwa mabichi ila ili uwe mlenda lazima uweke bamia!.
Hapana.Yanakuwa mlenda bila hata bamia.Yakikauka yanatengeneza mlenda bila bamia ila yakiwa mabichi ili yatengeneze mlenda inabidi kutumia na bamia?
Umesahau karanga zilizokaangwa na kusagwa vema/ntwili.Huo mlenda unaitwa irimbe au maimbe, unatokana na majani ya mlenda yaliyochanganywa na majani ya maboga yakatuangwa au kusagwa kupata unga. Ni mboga tamu sana ya kienyeji. Ongeza ladha kwa kuweka maziwa au samli utakula ugali mpaka tumbo liwe kubwa haukinahi
Hayo majani ya maboga au msusa yakiwa mabichi unapika mlenda kwa kuchanganya bamia au majani ya mlenda yanaitwa malendi kwa kinyamwezi na ngogwe ukipenda, unaweza kuweka karanga laini ukipenda. Pili unaweza pika mzabagulo bila bamia.Yakikauka yanatengeneza mlenda bila bamia ila yakiwa mabichi ili yatengeneze mlenda inabidi kutumia na bamia?
Kumbe hata huo wa unga huwa wanachanganya na majani ya maboga!Huo mlenda unaitwa irimbe au maimbe, unatokana na majani ya mlenda yaliyochanganywa na majani ya maboga yakatuangwa au kusagwa kupata unga. Ni mboga tamu sana ya kienyeji. Ongeza ladha kwa kuweka maziwa au samli utakula ugali mpaka tumbo liwe kubwa haukinahi
Mlenda wa kuchanganya majani ya maboga na bamia naujua vizuri, huu wa unga ndio siufahamu vizuri.Hayo majani ya maboga au msusa yakiwa mabichi unapika mlenda kwa kuchanganya bamia au majani yanaitwa malendi kwa kinyamwezi na ngogwe ukipenda, unaweza kuweka karanga laini ukipenda. Pili unaweza pika mzabagulo bila bamia.
Mswalu/nswalu au wapare wanaita msele ni majani ya maboga yaliyokaushwa bila bamia na kusagwa hupikwa na kuwekwa karanga laini- ntwili. Ni rahisi kuandaa mwenyewe.
Mboga hiyo noma sana.Huo mlenda unaitwa irimbe au maimbe, unatokana na majani ya mlenda yaliyochanganywa na majani ya maboga yakatuangwa au kusagwa kupata unga. Ni mboga tamu sana ya kienyeji. Ongeza ladha kwa kuweka maziwa au samli utakula ugali mpaka tumbo liwe kubwa haukinahi
Unachanganya majani ya maboga na majani maalum ya mlenda kinyamwezi yanaitwa malendi.Kumbe hata huo wa unga huwa wanachanganya na majani ya maboga!