1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,199
- 2,859
Hahahaaa Kama Chakula Kibaya๐๐๐๐๐ Wewe ni mgogo kabisa eti irende,safwe,chipali,chiwandagulu,nyamhuzha,nyapembe.
Jaribu Mboga tajwa hapo juu,utapenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa Kama Chakula Kibaya๐๐๐๐๐ Wewe ni mgogo kabisa eti irende,safwe,chipali,chiwandagulu,nyamhuzha,nyapembe.
MAJANI mwitu pia waweza Lima maana tangazo MBEGU inaweza panda piaHayo malendi yanalimwa kama mboga au ni majani pori/mwitu?
Yes ni vinyanya vidogoo sana.Nyanya mshenzi ndo zile ndogo? Ila umeongea ukweli mtupu. Mihogo-makopa, pilipili, uyoga, nyanya na ngogwe zote hukaushwa.
Naam, yakiwa mabichi yanapikwa mlenda pia.Kuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
Mlenda wa huku ni tofauti, unaota porini pia ila unakua kama majani ya kawaida madogo madogo siyo mti. Unafanana na hiyo picha aliyoweka mdau.Asee hii nchi kweli ni kubwa...
Maana ya mlenda ni KITU chochote kinachoteleza... (Utajua mwenyewe)
Nilivyomwelewa mtoa mada faster nilijua anazungumzia mboga maarufu kwa sisi wenyeji wa Iringa na Njombe, maarufu kama MKUNUNGU...
Hii mboga haichanganywi chochote wakati wa kuandaa, na ni mboga pori, inaota kama vichaka kwenye udongo wa mfinyanzi, mashina yake Hadi majani Yana miba, haikui kuwa miti mikubwa sana hapana. Ni kama ilivyo mimea ya ndula.
Majani yake yakiwa mabichi Yana aroma kama ya Limau hivi, na haiandaliwi Toka kwenye majani mabichi, isipokuwa yaliyokaushwa kwenye kivuli na kusagwa. UNGA wake hubaki na ule ukijani wake wa ASILI.
MBOGA HII HAICHAGUI MAPISHI WALA KIUNGO... NA INA MATCH NA KILA CHAKULA, AROMA YAKE YA CITRUS IKIWA NI APPETIZER MUJARABU KABISA.
-kamwene mbemuli-
Mkuu safi sana kwa kuweka hii, ndugu mleta mada aya majani ya huu mlenda wa unga yapo jike na dume kuna huu ambao mdau kauposti ni jike kuna majani mengine ambayo ni dume, aya unakausha kwa kutumia jua alafu unachanganya na majani ya maboga ambayo nayo ukaushwa pia aya maboga huitwa malumbu.
Baada ya hapo twanga vyote kwa pamoja alafu chekecha utaona mambo yalivyo na ugali wako wa Dona๐๐๐๐
Kingine aya majani ya mlenda msimu wa mvua ndio huwa yanachipua kwa wingi sana.
Kwakweli ugali unashuka balaaa. Halafu ukute mrenda umelala( ulipikwa Jana yake usiku) then asubuhi upike ugali unakula unaenda kuchunga. ๐๐๐๐Hahahaaa Kama Chakula Kibaya
Jaribu Mboga tajwa hapo juu,utapenda.
Gentleman, nasikia ukila mlenda kisawasawa unakuwa na makalio laini na matamu kama Poshi Queen.Yes,
tena sasa hivi yamechopua vizuri yana ukijani wa kuvutia mno na mlenda wake ni mtamu ya ule wa unga.
Infact,
ukichumwa ukiwa mbichi, hasa nyakati za mavuno, hukaushwa vizuri juani na kisha huhifadhiwa vyema kwenye mfuko hii hii ya salfeti, ndipo kwa wakati muafaka ikihitajika husagwa na kua huo wa unga wa mlenda.
Nadhani kwenye mashamba yangu umeota vizuri sana, lakini pia sijaona shamba la mtu ambalo halijaota mlenda hapa kijijini kwetu,
infact sasa hivi mlenda umeota hadi nyumbani ๐
Hapo unabugia tu matonge.Kwakweli ugali unashuka balaaa. Halafu ukute mrenda umelala( ulipikwa Jana yake usiku) then asubuhi upike ugali unakula unaenda kuchunga. ๐๐๐๐
gentlemanGentleman, nasikia ukila mlenda kisawasawa unakuwa na makalio laini na matamu kama Poshi Queen.
Hii imekaaje?

Tuliozaliwa na kukulia kwenye hizi mboga tunasema hizi habari siyo za kweli .Gentleman, nasikia ukila mlenda kisawasawa unakuwa na makalio laini na matamu kama Poshi Queen.
Hii imekaaje?
Gentleman, mlenda unalainisha sana wowowo.gentleman
sifahamu kwakweli na sijaona wala mlenda wakiwa hivyo![]()
Kumbe umeathiriwa na mlenda ndio maana una...Yes,
tena sasa hivi yamechopua vizuri yana ukijani wa kuvutia mno na mlenda wake ni mtamu ya ule wa unga.
Infact,
ukichumwa ukiwa mbichi, hasa nyakati za mavuno, hukaushwa vizuri juani na kisha huhifadhiwa vyema kwenye mfuko hii hii ya salfeti, ndipo kwa wakati muafaka ikihitajika husagwa na kua huo wa unga wa mlenda.
Nadhani kwenye mashamba yangu umeota vizuri sana, lakini pia sijaona shamba la mtu ambalo halijaota mlenda hapa kijijini kwetu,
infact sasa hivi mlenda umeota hadi nyumbani ๐
Basi kila sehemu na taratibu zake.Inaonekana wengi hawaufahamu vizuri mlenda aliouulizia mleta mada, yale ni majani mwitu ya aina moja hayajachanganywa na majani mengine, na pia inawezekana kupikwa yakiwa mabichi, au yakiwa yamekaushwa na kusagwa kua unga, na yanapatikana zaidi mkoa wa dodoma.