Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
Wanyaturu wamefungasha??? Ni wanyaturu hawa hawa wa singida ??Gentleman, mlenda unalainisha sana wowowo.
Fanya uchunguzi kwa wanyaturu uone walivyofungasha mizigo.
Ni INYE kweRi kweRi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyaturu wamefungasha??? Ni wanyaturu hawa hawa wa singida ??Gentleman, mlenda unalainisha sana wowowo.
Fanya uchunguzi kwa wanyaturu uone walivyofungasha mizigo.
Ni INYE kweRi kweRi.
Wana mikundu mikubwa lakini miguu myembamba kama spoku.Wanyaturu wamefungasha??? Ni wanyaturu hawa hawa wa singida ??
sifahamuGentleman, mlenda unalainisha sana wowowo.
Fanya uchunguzi kwa wanyaturu uone walivyofungasha mizigo.
Ni INYE kweRi kweRi.

😀😀 wa kulala balaa haupashwagi huo.Kwakweli ugali unashuka balaaa. Halafu ukute mrenda umelala( ulipikwa Jana yake usiku) then asubuhi upike ugali unakula unaenda kuchunga. 😀😀😀😀
wagogoo wanapenda sana mlenda aiseeWagogo na wanyamwezi watusaidie.
Mpwayungu village aione hii kwenye jalada/andalio la somo kwa msaada.
PoriniKuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
kuna vijana wa singida niliona anakula dengu kama karanga nikawauliza nini iyo mnatafunaYoda njoo Singida kwetu nikufundishe.
Yeah vilikua mixed,ulikua mzuri sanaMlenda na maharage mixer au sijaelewa.
Majani poriKuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
Unatokana na majani ya matango asili au mihogo.Kuna ule mlenda huwa unapikwa kutokana na majani fulani yanayosagwa kama unga, unaitwa mlenda wa unga.
Haya majani yanayotengeneza huu mlenda wa unga yanapatikana wapi?
Yanauzwa sokoni kama mboga ?
Unaweza kuyapikia mlenda yakiwa mabichi(hayajakauka) kama mboga nyingine za majani?
Yanajiotea tuHayo malendi yanalimwa kama mboga au ni majani pori/mwitu?