Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,414
- 4,794
Kwenye uteuzi wa makamu wa raisi ndipo patajulikana mlengo na ukomavu wa Mama Samia
Kama ni mtu sahihi wa kuendeleza kazi za mtangulizi wake ama la!; ikiwemo miradi mikubwa
Kama yupo kwa ajili ya hapa kazi tu ama la!
Kama yupo kwa ajili ya vita ya rushwa, ubadhilifu, uzembe, uvivu ama la!
Kama yeye ni CCM na Tanzania mpya kweli aliyokuwa akiijenga na kuihubiri mzee ama CCM ya zamani/asilia/watoto wa mjini
Na kadhalika na kadhalika
Kama ni mtu sahihi wa kuendeleza kazi za mtangulizi wake ama la!; ikiwemo miradi mikubwa
Kama yupo kwa ajili ya hapa kazi tu ama la!
Kama yupo kwa ajili ya vita ya rushwa, ubadhilifu, uzembe, uvivu ama la!
Kama yeye ni CCM na Tanzania mpya kweli aliyokuwa akiijenga na kuihubiri mzee ama CCM ya zamani/asilia/watoto wa mjini
Na kadhalika na kadhalika