Mlengo na ukomavu wa Mama Samia utaonekana kwenye uteuzi wa Makamu wa Rais

Mlengo na ukomavu wa Mama Samia utaonekana kwenye uteuzi wa Makamu wa Rais

Watoto wa mjini wapo kazini, the king maker sijamsikia kabisa moves zake zingeweza kutoa clues.
 
Mangula na Shein, makamu wenyeviti wa CCM, ndio watakaoamua ni nani awe VP, presida madam ni rubber stamp tu.
Mangula ni Doctor maadili

CCM wenyewe wanamtambua

Akisema flani na flani hawafai ni kweli hawafai

Ndio maana walimwekea ...... huyo mzee

Na huko nyuma wanamtandao walimstaafisha baadae wakamrudisha baada ya kuona chamani mambo magumu
 
Kwenye uteuzi wa makamu wa raisi ndipo patajulikana mlengo na ukomavu wa Mama Samia

Kama ni mtu sahihi wa kuendeleza kazi za mtangulizi wake ama la!; ikiwemo miradi mikubwa

Kama yupo kwa ajili ya hapa kazi tu ama la!

Kama yupo kwa ajili ya vita ya rushwa, ubadhilifu, uzembe, uvivu ama la!

Kama yeye ni CCM na Tanzania mpya kweli aliyokuwa akiijenga na kuihubiri mzee ama CCM ya zamani/asilia/watoto wa mjini

Na kadhalika na kadhalika
Watu walishasema tujenge taasisi imara na siyo kutegemea mtu mmoja imara.
 
Alikwisha sema kuwa chochote watakachoamua wazee sawa tu (JK, Karume, Mwinyi, Mangula...). Kwa hiyo hao ndio watateua. Yeye atatangaza jina tu. Lkn najua JK hawezi kufanya makosa mara 2.
Kwenye uteuzi wa makamu wa raisi ndipo patajulikana mlengo na ukomavu wa Mama Samia

Kama ni mtu sahihi wa kuendeleza kazi za mtangulizi wake ama la!; ikiwemo miradi mikubwa

Kama yupo kwa ajili ya hapa kazi tu ama la!

Kama yupo kwa ajili ya vita ya rushwa, ubadhilifu, uzembe, uvivu ama la!

Kama yeye ni CCM na Tanzania mpya kweli aliyokuwa akiijenga na kuihubiri mzee ama CCM ya zamani/asilia/watoto wa mjini

Na kadhalika na kadhalika
 
Back
Top Bottom