Kwani pombe sio msaada?Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Mkuu! Ebu nenda kwa mangi uchukue juice ya embe!Muuza uji hua anakupa Hela?
Kanisani ukiwa na shida huwa unapata Hela?
Muuza juice alikupa sh ngp ulipoishiwa Kodi?
Tatizo anahusisha ulevi na uzembe .walevi huwa wanapenda kunywa na kampani ww ukijileta na shida zako hayupo kuzitatua anafirahia kampan .ndo maana mm nkilewa na nina mil 1 nimepiga mchana naweza wapa baa nzima bia 2 wahudumu bill ikawa 30k .hii haimaanishi ndugu zangu wote wana hata 5000 mfukoni .ni kwamba kazi kuu ya pesa yangu ni kunifurahisha mm sio kutatua shida zako ..Muuza uji hua anakupa Hela?
Kanisani ukiwa na shida huwa unapata Hela?
Muuza juice alikupa sh ngp ulipoishiwa Kodi?
🙏🙏Mkuu! Ebu nenda kwa mangi uchukue juice ya embe!
[emoji3578][emoji3578][emoji3578] jasho unatoa ww na unatakiwa ulifaidi ww c vinginevyo .Tatizo anahusisha ulevi na uzembe .walevi huwa wanapenda kunywa na kampani ww ukijileta na shida zako hayupo kuzitatua anafirahia kampan .ndo maana mm nkilewa na nina mil 1 nimepiga mchana naweza wapa baa nzima bia 2 wahudumu bill ikawa 30k .hii haimaanishi ndugu zangu wote wana hata 5000 mfukoni .ni kwamba kazi kuu ya pesa yangu ni kunifurahisha mm sio kutatua shida zako ..
Muuza uji hua anakupa Hela?
Kanisani ukiwa na shida huwa unapata Hela?
Muuza juice alikupa sh ngp ulipoishiwa Kodi?
Tatizo mtu akikuona unapiga tuvitu vitu anahis hela zako hazina kazi ko anahis akija tu anajitoe dollarTatizo anahusisha ulevi na uzembe .walevi huwa wanapenda kunywa na kampani ww ukijileta na shida zako hayupo kuzitatua anafirahia kampan .ndo maana mm nkilewa na nina mil 1 nimepiga mchana naweza wapa baa nzima bia 2 wahudumu bill ikawa 30k .hii haimaanishi ndugu zangu wote wana hata 5000 mfukoni .ni kwamba kazi kuu ya pesa yangu ni kunifurahisha mm sio kutatua shida zako ..
oyeeeeokay Walevi oyeeeeee?
Swali lako linaendana na nlichouliza?Mbona maswali yako hayaendani na mada husika?