Mlevi hawezi kukusaidia zaidi ya kukununulia pombe

Mlevi hawezi kukusaidia zaidi ya kukununulia pombe

Tatizo mtu akikuona unapiga tuvitu vitu anahis hela zako hazina kazi ko anahis akija tu anajitoe dollar
Mtoa mada mjinga sana.hii ni dunia ya ubinafsi yeye tupige hebu kwa mwezi hela anazohonga malaya afubtupige hela alizomtumia mama yake mzazi.binadamu anaamini watu kuwa fair kwake wakati wote hatuko fair.Mimi na mdogo wangu katika kupambana akatoboa mbaya .watu kila mtu anataka mtaji kwenye familia akiwanyima wanamchukia .siku akalewa akaniita na kuniuliza kwa nn mm simlilii shida .nkamjibu ww ulipokuwa unatafuta hela sikukusaidia kwa nn nkusaidie kutumia nkamuuliza je unaamini bakhresa hana ndugu masikini? Yesu alikuwa mwana wa mungu au waislamu wanasema nabii alikuwa na nguvu nyingi je hakuwa na ndugu masikini na alikufa akiwaacha hivo? Nkamwambia shida zikikukuta sababu ni ww au mungu wako kamwe usilaumu binadamu mwingine hayamhusu akikusaidia sawa akikunyima sawa
 
Mtoa mada mjinga sana.hii ni dunia ya ubinafsi yeye tupige hebu kwa mwezi hela anazohonga malaya afubtupige hela alizomtumia mama yake mzazi.binadamu anaamini watu kuwa fair kwake wakati wote hatuko fair.Mimi na mdogo wangu katika kupambana akatoboa mbaya .watu kila mtu anataka mtaji kwenye familia akiwanyima wanamchukia .siku akalewa akaniita na kuniuliza kwa nn mm simlilii shida .nkamjibu ww ulipokuwa unatafuta hela sikukusaidia kwa nn nkusaidie kutumia nkamuuliza je unaamini bakhresa hana ndugu masikini? Yesu alikuwa mwana wa mungu au waislamu wanasema nabii alikuwa na nguvu nyingi je hakuwa na ndugu masikini na alikufa akiwaacha hivo? Nkamwambia shida zikikukuta sababu ni ww au mungu wako kamwe usilaumu binadamu mwingine hayamhusu akikusaidia sawa akikunyima sawa
Dunia ya kibepari hiii hamna mda wa kutia huruma
 
Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,

Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,

Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Wewe huyo mlevi umewahi kumpa shingapi?

Wanywa mirinda mnamajungu kinoma afu kila siku mnasema hamna hela, ila mademu mnahonga,
Kenge nyie
 
Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,

Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,

Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Unamtafutaje mlevi akussidie akiwa bar????? 😂😂😂
 
Ninaunga mkono comments zote za walevi wenzangu. Sisi tunatoaga ushauri ukihitaji msaada wa kifedha
 

Attachments

  • IMG_20231125_152820.jpg
    IMG_20231125_152820.jpg
    818.1 KB · Views: 2
Komaa utafute za kwako, we unajua kabisa bongo hapa mtu atakupa chakula kizuri, starehe atakulipia lakini si kupewa pesa unaweza kufanya kitu cha maana sana ukamzidi mbali, hivyo akikupa utafaidika sana...suluhisho ni kukomaa utafute zako Ili uondoe lawama kwao.
 
Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,

Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,

Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza ku

Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,

Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,

Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Kwanza hiyo kukupa stimu tu kesha kusaidia. Unataka akulipie na kodi ya nyumba.FANYA KAZI KWA BIDII
 
Back
Top Bottom