Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha..ha..haNyie ndio tukinunua kitimoto bar mnasema mbona nyingi sana mnataka mgawe robo mbebee watoto wenu nyumbani.
Mtoa mada mjinga sana.hii ni dunia ya ubinafsi yeye tupige hebu kwa mwezi hela anazohonga malaya afubtupige hela alizomtumia mama yake mzazi.binadamu anaamini watu kuwa fair kwake wakati wote hatuko fair.Mimi na mdogo wangu katika kupambana akatoboa mbaya .watu kila mtu anataka mtaji kwenye familia akiwanyima wanamchukia .siku akalewa akaniita na kuniuliza kwa nn mm simlilii shida .nkamjibu ww ulipokuwa unatafuta hela sikukusaidia kwa nn nkusaidie kutumia nkamuuliza je unaamini bakhresa hana ndugu masikini? Yesu alikuwa mwana wa mungu au waislamu wanasema nabii alikuwa na nguvu nyingi je hakuwa na ndugu masikini na alikufa akiwaacha hivo? Nkamwambia shida zikikukuta sababu ni ww au mungu wako kamwe usilaumu binadamu mwingine hayamhusu akikusaidia sawa akikunyima sawaTatizo mtu akikuona unapiga tuvitu vitu anahis hela zako hazina kazi ko anahis akija tu anajitoe dollar
Dunia ya kibepari hiii hamna mda wa kutia hurumaMtoa mada mjinga sana.hii ni dunia ya ubinafsi yeye tupige hebu kwa mwezi hela anazohonga malaya afubtupige hela alizomtumia mama yake mzazi.binadamu anaamini watu kuwa fair kwake wakati wote hatuko fair.Mimi na mdogo wangu katika kupambana akatoboa mbaya .watu kila mtu anataka mtaji kwenye familia akiwanyima wanamchukia .siku akalewa akaniita na kuniuliza kwa nn mm simlilii shida .nkamjibu ww ulipokuwa unatafuta hela sikukusaidia kwa nn nkusaidie kutumia nkamuuliza je unaamini bakhresa hana ndugu masikini? Yesu alikuwa mwana wa mungu au waislamu wanasema nabii alikuwa na nguvu nyingi je hakuwa na ndugu masikini na alikufa akiwaacha hivo? Nkamwambia shida zikikukuta sababu ni ww au mungu wako kamwe usilaumu binadamu mwingine hayamhusu akikusaidia sawa akikunyima sawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani pombe sio msaada?
Wewe huyo mlevi umewahi kumpa shingapi?Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Unamtafutaje mlevi akussidie akiwa bar????? 😂😂😂Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.
Jifunze logicMbona maswali yako hayaendani na mada husika?
Unampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza ku
Kwanza hiyo kukupa stimu tu kesha kusaidia. Unataka akulipie na kodi ya nyumba.FANYA KAZI KWA BIDIIUnampigia kuwa una shida fulani, anakwambia njoo sehemu fulani, ukifika anakwambia agiza bia,
kunywa tani yako usahau shida zako,
Lakini kukupa pesa mkononi ni mwiko, sijui kwanini walaevi huwa hawapendi kutoa pesa taslimu, pombe utakunywa ya kutosha lakini wakati mwingi hata chakula tu hawezi kukununulia,
Mwenye kujua sababu hasa inayosababisha mlevi asitoe hela yake kumsaidia mtu anaweza kutujuza.