Sina taaluma ya uandishi kabisa hata inayoendana na hiyo ila huwa napenda sana uandishi maranyingi tukio likinitokea hata baada ya miaka 10 nikitulia kulikumbuka kila kitu hutiririka kama seriesMkuu una taaluma gani!?? Nimependa Sana uandiashi wako yaani kiasi kwamba Pamoja na story yako ndefu Ila nimeisoma yote. Hongera pia inafundisha maana hizo Mambo nilijua ni Mimi peke yangu.
Mi mwenyewe sina kipato cha level zile ila kuna miezi michache akaunti huwa imetuna na kwa ulevi wangu ule siku nikiwa na chini ya 50 nilikuwa naishia grocery mtaani tu.Nimekuelewa sana mkuu me sio mnywaji sana na sina maisha kiivyo ni juzi tu nilikuwa na elfu 90 mfukoni nikasema nipitie mahali nijipigie mbili tatu bajeti ya juu nikajisemea hata nikitumia elfu 20 ni safi kwa sababu me nikigonga safari zangu 5 nakuwa niko poa sana
lakini kilichotokea niliondoka pale saa11 alfajiri na malaya na asubuhi nikijikuta na nikiwa na elfu12 tu nikajuta kama siku tatu hivi ndiyo nikakubali matokeo
Lesson learnt, ukweli kuacha pombe ni ngumu sana maana hunipa burudani sana nikirudi ulingoni nitabeba style yako [emoji1]Mkuu,Asante.
Juzi Jamaa angu ananipigia simu ucku ananiuliza hivi Jamaa Juzi Nilimaliza laki TANO kweli?Namwambia kivipi?Ananiambia nilipokuita nilikuwa na 500k Mfukoni.Nikacheka nikamwambia acha kupiga mahesabu baada ya kutumia,Chakula na pombe havitafanya kazi.Piga hesabu kabla.Any way Wengi tumefikia kwenye hio level ila Namshukuru Mungu kwamba kwa sasa nimefikia hatua nzuri.Kwanza sitembei na zaidi ya 50k to 100k pili sitoi ofa ya bia kwa demu bila masimamngo kidogo.Nina neno langu la kishenzi(Unataka Ofa utaweza kulipia au unajitia uroho tu hakuna cha bure mjini Bajeti" Shida ni hiz Pisi kali huwa zinafuta network zote kuanzi 1G mpaka 5G unabaki kusema tu OK.Ila tutafika tu.
PS
Hongera kwa kuweza kumudu control,wengi wamekwa na mbaya zaidi PESA ZA MAWAZO
Hii kanuni inatusaidia wengi. Haisee nilijifunza usiende na hela nyingi(kutegemeana na kipato chako) bar unaweza kujuta sana.Mkuu,Asante.
Juzi Jamaa angu ananipigia simu ucku ananiuliza hivi Jamaa Juzi Nilimaliza laki TANO kweli?Namwambia kivipi?Ananiambia nilipokuita nilikuwa na 500k Mfukoni.Nikacheka nikamwambia acha kupiga mahesabu baada ya kutumia,Chakula na pombe havitafanya kazi.Piga hesabu kabla.Any way Wengi tumefikia kwenye hio level ila Namshukuru Mungu kwamba kwa sasa nimefikia hatua nzuri.Kwanza sitembei na zaidi ya 50k to 100k pili sitoi ofa ya bia kwa demu bila masimamngo kidogo.Nina neno langu la kishenzi(Unataka Ofa utaweza kulipia au unajitia uroho tu hakuna cha bure mjini Bajeti" Shida ni hiz Pisi kali huwa zinafuta network zote kuanzi 1G mpaka 5G unabaki kusema tu OK.Ila tutafika tu.
PS
Hongera kwa kuweza kumudu control,wengi wamekwa na mbaya zaidi PESA ZA MAWAZO
Kinoma yaani.. Nasoma Huku nacheka sana..Mzee, mbali na yote, ni muandishi mzuri sana.
Uzuri wa pombe ni kwamba ile starehe yake unaipata kwa asilimia nyingi mno. Yaani tangu vibe linaanza kupanda we ni shangwe tu mpaka unaingia kulala still una furaha ya ajabu, unajiamini unaona mambo yote mswano ukijumlisha na mtoto uliemuopoa ndo kabisaaa unajiona unamiliki dunia kwa raha.
Majuto ni kawaida ila kwa wengine ndo yanatupa funzo zaidi na mori ya kuzisaka zaidi.
Wakati huo Extrovert anatuaangalia tu, halafu anasema kimoyo moyo "Endeleeni kuitana tu, watoto wadogo nyinyi kwenye hii sekta"
Yani we acha tu, alafu huwa hazisaidii kabisa!Hesabu za asubuh zinaleta msongo wa mawazo kwakweli!!!!!!
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app