Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi atiwa mbaroni akidaiwa kubaka watoto yatima watano kwa nyakati tofauti

Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi atiwa mbaroni akidaiwa kubaka watoto yatima watano kwa nyakati tofauti

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo.

Muhumiwa huyo alikuwa akikwabaka watoto hao wanaokaa kwenye kituo hicho akiwadanganya kuwa anawatengeneza kisaikolojia ili wasisumbuliwe na wanaume mtaani na waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao ya Sekondari.

Taratibu za upelelezi dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea na anahojwa kwa kina kwa kushirikiana na Idara nyingine za Serikali na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani.
1739016611433.jpg
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo.

Muhumiwa huyo alikuwa akikwabaka watoto hao wanaokaa kwenye kituo hicho akiwadanganya kuwa anawatengeneza kisaikolojia ili wasisumbuliwe na wanaume mtaani na waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao ya Sekondari.

Taratibu za upelelezi dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea na anahojwa kwa kina kwa kushirikiana na Idara nyingine za Serikali na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani.
View attachment 3229156
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo.

Muhumiwa huyo alikuwa akikwabaka watoto hao wanaokaa kwenye kituo hicho akiwadanganya kuwa anawatengeneza kisaikolojia ili wasisumbuliwe na wanaume mtaani na waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao ya Sekondari.

Taratibu za upelelezi dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea na anahojwa kwa kina kwa kushirikiana na Idara nyingine za Serikali na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani.
View attachment 3229156
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo.

Muhumiwa huyo alikuwa akikwabaka watoto hao wanaokaa kwenye kituo hicho akiwadanganya kuwa anawatengeneza kisaikolojia ili wasisumbuliwe na wanaume mtaani na waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao ya Sekondari.

Taratibu za upelelezi dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea na anahojwa kwa kina kwa kushirikiana na Idara nyingine za Serikali na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani.
View attachment 3229156
Kutokana na "Nature" au scenario ya mkasa huu, huyo Askari Polisi hakupaswa kabisa kutaja jina la Mtuhumiwa huyo kwa Sasa. Alichopaawa kufanya ni kuamuru ufanyike upelelezi wa kina kabisa kimya kimya, baada ya kukamilisha upelelezi wao kisha Jeshi la Polisi lingeifikisha Kesi husika Mahakamani ili vyombo vya Sheria viweze kufanya kazi yake.
Kitendo cha kutaja hadharani jina la Mtuhumiwa huyo katika hatua hizi za awali za upelelezi kina madhara mabaya Sana, siyo katika mchakato wa uchunguzi wa kipolisi tu bali hata kwa sababu za kijamii kuhusu Watoto hao wanaoishi kwenye Kituo chake sambamba na kuathiri maisha ya watoto wengine wengi ambao wanaishi kwenye Vituo vya Kulelea watoto yatima.

Huyo Polisi alipaswa kuli-handle suala hili with great care! Ikiwezekana atume timu ya Askari Polisi kwenda kwenye sehemu za makazi na malezi ya watoto yatima ili kutoa elimu juu ya unyanyasi wa aina hii kwa walezi na watoto yatima wenyewe kwa njia za uelimishaji bila ya kuathiri Mfumo wao wa maisha hao watoto
 
Jamaa kala mayai,uzalendo umemshinda

Ni kazi ngumu sana hyo,unatakiwa usiwe na roho ya tamaa hata chembe

Kuna jamaa huku kwetu aliwah kutangaza kuwahudumia mahitaji ya shule mabinti wanaotoka familia masikin lakin ajabu wengi wao aliishia kuwala,walikuwa wakienda kuchukua mahitaji au hela jamaa anatongoza
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo.

Muhumiwa huyo alikuwa akikwabaka watoto hao wanaokaa kwenye kituo hicho akiwadanganya kuwa anawatengeneza kisaikolojia ili wasisumbuliwe na wanaume mtaani na waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao ya Sekondari.

Taratibu za upelelezi dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea na anahojwa kwa kina kwa kushirikiana na Idara nyingine za Serikali na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani.
View attachment 3229156
Mambo ya Pwani!
 
Back
Top Bottom