Mlifikiri yataishia kwa Wamasai wa Loliondo tu?

Mlifikiri yataishia kwa Wamasai wa Loliondo tu?

Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.

Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!

Tumelaniwa.
Umelaaniwa peke yako
 
Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.

Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!

Tumelaniwa.
mbona walioondolewa kupisha ujenzi wa bwawa la mindu hamukusema kitu? Au kwa kuwa wao ni wazaramo?
 
Hayajaanza leo haya Mungu kawapa akili
40689919.jpg
 
Tofauti kati ya awamu ya kwanza ya mwl Nyerere na awamu hii ya tano kipindi cha pili ya SSH ni kwamba:

Mwalimu Nyerere aliwaondoa wananchi kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kuunda vijiji vya ujamaa lengo likiwa kupata huduma za maji, zahanati na shule za kijiji. SSH ameondoa wamasai kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kupelekwa maeneo ya Tanga yawezekana lengo likawa lile lile kama awamu ya kwanza.

Hata kabla hatujapata muda wa kutosha kutafakari haya masuala mazito yanayogusa maisha wa wananchi ambao ndio wamiliki wa ardhi ya Tanzania na sio Serikali, Linakuja suala la Bandari kukabidhiwa kwa wageni kwa kisingizio cha kufanya maboresho na kuongeza mapato..... Hii haikubaliki!

Kama hatuna uwezo wa kuendesha bandari zetu wenyewe kwa sasa, kwa nini tusisubiri hadi hapo watoto wetu walioko mashuleni wapate akili ya kusimamia rasilimali ambazo ndio urithi wa taifa hili? Haraka hii ni ya nini hasa wakati tuliisha chelewa?.... Nawaza tu!. Namaste.🙏
 
Mama amekula sana miguu ya kuku, kazi kupuyanga kila kona ya Dunia hii, anadhani ataimaliza. Uongozi wa juu sio lelemama sio kudhani ukijiengage kwa watani (sport) basi utapata support ya wote. Sijui think tank yake ni ipi? Inabidi amtangulize sanaa Yesu sio yule wa kwao ili NEEMA ya uongozi imulike akili yake.
 
Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.

Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!

Tumelaniwa.
Tuliwaambia sana watu.
 
Tofauti kati ya awamu ya kwanza ya mwl Nyerere na awamu hii ya tano kipindi cha pili ya SSH ni kwamba:

Mwalimu Nyerere aliwaondoa wananchi kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kuunda vijiji vya ujamaa lengo likiwa kupata huduma za maji, zahanati na shule za kijiji. SSH ameondoa wamasai kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kupelekwa maeneo ya Tanga yawezekana lengo likawa lile lile kama awamu ya kwanza.

Hata kabla hatujapata muda wa kutosha kutafakari haya masuala mazito yanayogusa maisha wa wananchi ambao ndio wamiliki wa ardhi ya Tanzania na sio Serikali, Linakuja suala la Bandari kukabidhiwa kwa wageni kwa kisingizio cha kufanya maboresho na kuongeza mapato..... Hii haikubaliki!

Kama hatuna uwezo wa kuendesha bandari zetu wenyewe kwa sasa, kwa nini tusisubiri hadi hapo watoto wetu walioko mashuleni wapate akili ya kusimamia rasilimali ambazo ndio urithi wa taifa hili? Haraka hii ni ya nini hasa wakati tuliisha chelewa?.... Nawaza tu!. Namaste.[emoji120]
Shetani ana miguu tz
 
Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.

Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!

Tumelaniwa.
Daaaah ! Noma kweli yaani !
 
Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.

Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!

Tumelaniwa.
Wizi wa ccm haujaanza Leo,Mkapa aliuza mashirika yote ya umma kwa Bei poa.
Mke wa Mwinyi alikuwa ndio smuggler mkubwa wa dhahabu,escrow,meremeta,Richmond,huu ni wizi wa kikwete,Bomba la gesi wakati linajengwackutoka mtwara,tuliambiwa likifika Dar,umeme utakuwa nafuu,Waaapi!kikwete huyo,
Likaja shetani la kisukuma,linapiga deal ikulu,hakuna wa kuuliza,
Ccm inabidi watolewe kwa mtutu wa bunduki TU,ni nuksi
 
Acheni nongwa mama anaupiga mwingi, mwacheni mwarabu apewe bandari ufanisi uongezeke ....

Go mama go, na wachina wakitaka wapewe ya bagamoyo tunahitaji sn wawekezaji[emoji123]
 
I am so angry that i can not write anything sensible.
 
Back
Top Bottom