Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Umelaaniwa peke yakoWalipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
mbona walioondolewa kupisha ujenzi wa bwawa la mindu hamukusema kitu? Au kwa kuwa wao ni wazaramo?Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
Tuliwaambia sana watu.Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
Kitenge ana fadhiliwa na DubaiWalipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
Shetani ana miguu tzTofauti kati ya awamu ya kwanza ya mwl Nyerere na awamu hii ya tano kipindi cha pili ya SSH ni kwamba:
Mwalimu Nyerere aliwaondoa wananchi kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kuunda vijiji vya ujamaa lengo likiwa kupata huduma za maji, zahanati na shule za kijiji. SSH ameondoa wamasai kutoka kwenye ardhi yao ya asili na kupelekwa maeneo ya Tanga yawezekana lengo likawa lile lile kama awamu ya kwanza.
Hata kabla hatujapata muda wa kutosha kutafakari haya masuala mazito yanayogusa maisha wa wananchi ambao ndio wamiliki wa ardhi ya Tanzania na sio Serikali, Linakuja suala la Bandari kukabidhiwa kwa wageni kwa kisingizio cha kufanya maboresho na kuongeza mapato..... Hii haikubaliki!
Kama hatuna uwezo wa kuendesha bandari zetu wenyewe kwa sasa, kwa nini tusisubiri hadi hapo watoto wetu walioko mashuleni wapate akili ya kusimamia rasilimali ambazo ndio urithi wa taifa hili? Haraka hii ni ya nini hasa wakati tuliisha chelewa?.... Nawaza tu!. Namaste.[emoji120]
Daaaah ! Noma kweli yaani !Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
Wizi wa ccm haujaanza Leo,Mkapa aliuza mashirika yote ya umma kwa Bei poa.Walipoondolewa Wamasai kule Loliondo, kuna watu walitetea sana maamuzi yale wakidhani maamuzi kama yale yataishiwa kwa Wamasai tu hawakujua yale maamuzi yalikuwa yanaweka precedence mbaya kwa siku zijazo.
Leo tunavuna tulichopanda halafu tunalialia!
Tumelaniwa.
Tena laana ya kizazi hadi kizazi isiyo na mwisho.Hiyo statement ya mwisho hapo Nakazia
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
Umemjibu vizuri sana.Mifano halisi ya laana ndio kama ninyi sasa...
You always prefer a comfortable lie over an offensive truth.
Hamtaki msikie ukweli mnataka msikie uongo wa kuwafariji.