Mliiponda Simba kuingia robo fainali Shirikisho, ila nyie mmeshangilia nusura mtoke roho

Mliiponda Simba kuingia robo fainali Shirikisho, ila nyie mmeshangilia nusura mtoke roho

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Mlilkuwa mnasema kwamba kuingia robo fainali ya Klabu Bingwa ama Shirikisho si mafanikio kwa timu ya Mpira Afrika bali kuchukua kombe ndiyo mafanikio. Mlikuwa mnasema hakuna kitu Simba imepata kwa kuingia Robo fainali ya Klabu Bingwa na Shirikisho!

Nyie sasa mmeingia robo fainali kwa mara ya kwanza, hadi nchi imepinduka pinduka kwa makelele yenu. Au ndiyo yale mambo ya maskini akipata.
 
Simba Bora ikutane na Mamelodi ...hata ikitolewa itakuwa imetolewa na bingwa
Nitashangaa sana baada ya kutolewa na Orlando Pirates, halafu Kaizer Chiefs, Simba wawe hawajajifunza jinsi ya kuitoa timu ya South Africa. Nadhani tutegemee kitu tofauti mwaka huu. Malengo ya at least nusu fainali lazima yafikiwe mwaka huu.
 
Nitashangaa sana baada ya kutolewa na Orlando Pirates, halafu Kaizer Chiefs, Simba wawe hawajajifunza jinsi ya kuitoa timu ya South Africa. Nadhani tutegemee kitu tofauti mwaka huu. Malengo ya at least nusu fainali lazima yafikiwe mwaka huu.
Robo fainali ndiyo mtihani wa kuvuka, ila nusu fainali ndiyo malengo. Acha walioyaita mashindano ya Shirikisho kwamba ni mashindano ya walioshindwa washangilie kufiika robo fainali!!
 
Malengo ya kuchukua ubingwa bila ya kufika kwanza Robo fainali. Kama malengo ni kuchukua ubingwa yale mayowe yenu ya jana ni ya nini sasa?

ilikuwa utadhani utopolo wote wameambiwa watakwenda mbinguni hata kama watatenda dhambi!!
punguza mihemko,unafanya ata unachoandika hakieleweki
 
Robo fainali ndiyo mtihani wa kuvuka, ila nusu fainali ndiyo malengo. Acha walioyaita mashindano ya Shirikisho kwamba ni mashindano ya walioshindwa washangilie kufiika robo fainali!!
😂😂hawa utoporoooo kochawao luc eymael hakukosea kuwaita yale majina .Nakumbuka walisema Simba ilikua inafika hatua ya robo fainali kutokana na timu ilizocheza nazo kuwa na Corona lockdown😂😂😂sasa maajabu kwenye Corona hiyohyo wakatolewa hatua ya awali na Rivers FC ya Nigeria
 
Mlilkuwa mnasema kwamba kuingia robo fainali ya Klabu Bingwa ama Shirikisho si mafanikio kwa timu ya Mpira Afrika bali kuchukua kombe ndiyo mafanikio. Mlikuwa mnasema hakuna kitu Simba imepata kwa kuingia Robo fainali ya Klabu Bingwa na Shirikisho!

Nyie sasa mmeingia robo fainali kwa mara ya kwanza, hadi nchi imepinduka pinduka kwa makelele yenu. Au ndiyo yale mambo ya maskini akipata.
Malengo ya Yanga ilikuwa ni kuingia makundi, lakini timu Sasa IPO robo fainali, hii tayari ni bonus, hata timu ikitolewa hatuna cha kuwadai wachezaji wala viongozi.
 
Malengo ya Yanga ilikuwa ni kuingia makundi, lakini timu Sasa IPO robo fainali, hii tayari ni bonus, hata timu ikitolewa hatuna cha kuwadai wachezaji wala viongozi.
Malengo ya kuishia Makundi yalikuwa ya Mzee Mpili na Ashura cheupe. Kufika robo fainali ni mafanikio ama siyo mafanikio??
 
malengo ya kuingia makundi ya kombe lipi...😀😀
Usitoneshe kidonda. Walikuja na ile kauli mbiu yao mwaka jana ya Ritani ofu ze championi.... cha moto walikiona. Mwaka huu walikuwa na malengo ya kufika makundi Klab Bingwa nako wakapigwa za uso.
 
Back
Top Bottom