Kwa mpira wa jumamosi mamelod anakufa hamsa kwa mkapaMara paah! Simba [emoji1241] vs Mamelody Sundowns [emoji1221]. Watu woyooooh!!
Mara utopolo kapewa Asec mimosaMara paah! Simba [emoji1241] vs Mamelody Sundowns [emoji1221]. Watu woyooooh!!
Yeyote atakayekutana na Yanga kwenye hatua ya Robo, na pia nusu fainali atapigwa kama ngoma.Mara utopolo kapewa Asec mimosa
Hata Yanga ikipangwa na Ihefu!!??Yeyote atakayekutana na Yanga kwenye hatua ya Robo, na pia nusu fainali atapigwa kama ngoma.
Simba imepangwa kushiriki super CUP Africa!!Makolokolo wana utindio wa ubongo kabisa.
Walikuwa wanaanzisha nyuzi tele humu kuiponda Yanga tangu 1998 haijawahi kufika robo fainali, sasa hivi wameamua kujifariji tena na robo fainali yao ya mchongo walioyowakatalia Vipers goli 1 la kusawazisha.
Ila mna bahati yanga shirikisho msimu huu hamna team kubwaYeyote atakayekutana na Yanga kwenye hatua ya Robo, na pia nusu fainali atapigwa kama ngoma.
Mlitubeza na kututisha,mwarabu,mwarabu,mwarabuuu,tunataka kwanza tumisibitishieni,mwarabu sii kitu kwa mwananchi,tena tutafanya majaribio kwa Raja,Al Ahly,tufunge kazi na mamelodi (Hizo zitakuwa za kirafiki,pia kama kipimo cha ubora wetu)πMalengo ya kuchukua ubingwa bila ya kufika kwanza Robo fainali. Kama malengo ni kuchukua ubingwa yale mayowe yenu ya jana ni ya nini sasa?
ilikuwa utadhani utopolo wote wameambiwa watakwenda mbinguni hata kama watatenda dhambi!!
Mlitubeza na kututisha,mwarabu,mwarabu,mwarabuuu,tunataka kwanza tumisibitishieni,mwarabu sii kitu kwa mwananchi,tena tutafanya majaribio kwa Raja,Al Ahly,tufunge kazi na mamelodi (Hizo zitakuwa za kirafiki,pia kama kipimo cha ubora wetu)πMalengo ya kuchukua ubingwa bila ya kufika kwanza Robo fainali. Kama malengo ni kuchukua ubingwa yale mayowe yenu ya jana ni ya nini sasa?
ilikuwa utadhani utopolo wote wameambiwa watakwenda mbinguni hata kama watatenda dhambi!!
Simba ndiyo timu inayojulikana ni kiboko kwa wale Waarabu "Original" na ndiyo timu imewafunga waarabu wote wakubwa!!Mlitubeza na kututisha,mwarabu,mwarabu,mwarabuuu,tunataka kwanza tumisibitishieni,mwarabu sii kitu kwa mwananchi,tena tutafanya majaribio kwa Raja,Al Ahly,tufunge kazi na mamelodi (Hizo zitakuwa za kirafiki,pia kama kipimo cha ubora wetu)π
Mbona mwarabu wa kutoka Tandale kwa tumbo kampiga mtu tatu(Raja/Rajabu)ππSimba ndiyo timu inayojulikana ni kiboko kwa wale Waarabu "Original" na ndiyo timu imewafunga waarabu wote wakubwa!!
Nyie mmekutana na waarabu wa kwa mtogole ndiyo mnataka kupiga mikelele?? Katimu tangu kaanzishwe mwaka 1923 mpaka leo kamechukua makombe mawili tu nchini kwao na yote msimu wa mwaka 2019 - 2020.
Weeee!! Acha maneno yako wewe!Mbona mwarabu wa kutoka Tandale kwa tumbo kampiga mtu tatu(Raja/Rajabu)ππ
Na ndiye tunayemtakaMara paah! Simba [emoji1241] vs Mamelody Sundowns [emoji1221]. Watu woyooooh!!
Mtapigwa kama ngoma! Imagine Mamelodi Sundowns moja, ni sawa na Raja Casablanca 2!Na ndiye tunayemtaka
Wale waarabu wenu wa kwa mtogole wamewapa kiburi sana nyie!!Mtapigwa kama ngoma! Imagine Mamelodi Sundowns moja, ni sawa na Raja Casablanca 2!
Ni mtazamo wako, na tuna heshimu hilo..Mtapigwa kama ngoma! Imagine Mamelodi Sundowns moja, ni sawa na Raja Casablanca 2!