Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri mkuu wa serikali ya mkoa wa Morogoro ana fungu la majanga litumike ipasavyoMuda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.
Kila mwaka huwa wanafanya hivyo,Wana amini Kwa kufanya hivyo ndio wanaita mvua,ni matambiko ya waluguru hayo mkuu😄Muda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.
UNAFUNGUA?Huo mlima unafungua Kila siku
Najua umeelewa namaaninisha niniUNAFUNGUA?
Watasingiziwa CHADEMAMuda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.
Miaka yote Waruguru wanachoma mlima hata kabla hujazaliwa wewe. Hiyo ni matambiko yaoMuda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.