DOKEZO Mlima wa Morogoro unaungua, Serikali ya Mkoa ingilieni kati

DOKEZO Mlima wa Morogoro unaungua, Serikali ya Mkoa ingilieni kati

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
IMG20240914213808.jpg
 
Muda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.
Miaka yote Waruguru wanachoma mlima hata kabla hujazaliwa wewe. Hiyo ni matambiko yao
 
Back
Top Bottom