fexcash
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 447
- 831
Ulikuwa Moro Kwa sehemu Gani mkuu maana na Mimi miaka hiyo nilikuwa Moro piaMoro ilikua moro bwana miaka ya 90 nimekaa pale na kusoma. Milimani maji yanatililika asubuhi ukiongea unatoa mvuke dah....palikua patam hatari imefika 2000 mara mlima uwake moto mara ghafla maji kule juu huoni yanatililika mpaka mto morogoro unakauka watu wamevamia milimani kata miti haribu mazingira ...so sad...