kaizerwanaman
Member
- Sep 9, 2024
- 27
- 58
Njoo mitaa ya huku highlands ndio utapata picha vizuriUmeiona ?
Simu gani unatumia mkuu
Big brother upo kumbe kimya sana aisee!
Nipo mkuu. Inakuwaje?Big brother upo kumbe kimya sana aisee!
๐
Hicho chuo kingeteketezwa tu na huo moto. Output yake imeprove kuwa hasara zaidi kuliko faidaKuna chuo cha maafisa wa polisi Kidatu kipo kule, kuna bwawa la umeme la Kidatu kuna kabila la Wavidunda wapo kule, kuna wanyama, kuna safu za milima ya Udzungwa kule
Punguza jazba๐ ๐ ๐Hicho chuo kingeteketezwa tu na huo moto. Output yake imeprove kuwa hasara zaidi kuliko faida
Hii location ni uelekeo wa mikumi mkuu huu moto uko hapa mjini manispaa.Kuna chuo cha maafisa wa polisi Kidatu kipo kule, kuna bwawa la umeme la Kidatu kuna kabila la Wavidunda wapo kule, kuna wanyama, kuna safu za milima ya Udzungwa kule
Nipo salama best Maghayo
Kabisa zamani miaka ya 1998 nikipita hapo mjini kwenda Mzumbe mandhari ilikuwa nzuri sana lakini watu wamekuwa wakiishi milimani na kuchoma moto misitu udongo unaporomoka na miamba imebaki wazi kweli inasikitisha sana!Muda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.