Mlimani City-badoooo....

Mlimani City-badoooo....

IMG_0713.jpg


kiduuuchu, ni kazi ya walinzi wale pale Mlimani City
 
Kuanzia sasa nikienda shopping mlimani city ntakuwa naacha VOGUE yangu nyumbani, ntakuwa natumia MERCEDES BENZ AU BMW kama honey wangu atakuwa hajatoka nayo.
 
Kuanzia sasa nikienda shopping mlimani city ntakuwa naacha VOGUE yangu nyumbani, ntakuwa natumia MERCEDES BENZ AU BMW kama honey wangu atakuwa hajatoka nayo.

ile ESCALADE bado unayo....:glasses-nerdy:
 
Wizi huu unalelewa na serikali yetu, kutokea ile ya Nyrerere hadi hii ya leo. Polisi wanajua kabisa wapi vifaa vya magari vinavyoibiwa vinauzwa lakini wanajitia hawajui kabisa. Hawa wauza vifaa vya wizi wamekuwa kama ni serikali pia. Wanaogopwa saaaaaaaaaaaaaaaaana.
 
Yaani nilifikiri wizi umedhibitiwa pale mlimani city kumbe bado bwana, yaani jana majira ya saa saba mchana nipo zanguu pale karibu kabisa na nilipopack kuna vijamaa viwili si vilikuwa vinaiba/yaani vishatoa site mirrors sijui nafikiri ndo walikuwa ktk process za kutoa na power window, sasa mmoja wao si akachoropoka gafla akabakia mmoja, amepewaje kipondo, yaani domo lilivimba, damu nk...tena jamaa mwenyewe ukiambiwa ni mjikibaka huwezi amini, jamaa mashallah handsome, kajazia jazia kidogo, mtanashati etc, yaani Dar ni zaidi ya ujuavyo , unaweza fikiri jamaa ana kazi zake kumbe mwizi, so kuweni makini pale. Jamaa wa gari iliyokuwa inakwapuliwa vitu alimind kichizi yaani X-trail mpyaaa ikawa ndo hivyo tena......
mama dunia ndo dunia hiyooo. iukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
 
Hapana, side mirrors na maisha ya mtu wapi na wapi? Huwezi linganisha..acha sheria ichukue mkondo wake..kila mtu anakosea ndugu.
 
Mnaonaaje sasa tusign petition tuipleke kwa Waziri wa Mambo ya ndani kuhusu wizi wa vifaa vya magari jijini DAR?
 
yaani nilifikiri wizi umedhibitiwa pale mlimani city kumbe bado bwana, yaani jana majira ya saa saba mchana nipo zanguu pale karibu kabisa na nilipopack kuna vijamaa viwili si vilikuwa vinaiba/yaani vishatoa site mirrors sijui nafikiri ndo walikuwa ktk process za kutoa na power window, sasa mmoja wao si akachoropoka gafla akabakia mmoja, amepewaje kipondo, yaani domo lilivimba, damu nk...tena jamaa mwenyewe ukiambiwa ni mjikibaka huwezi amini, jamaa mashallah handsome, kajazia jazia kidogo, mtanashati etc, yaani dar ni zaidi ya ujuavyo , unaweza fikiri jamaa ana kazi zake kumbe mwizi, so kuweni makini pale. Jamaa wa gari iliyokuwa inakwapuliwa vitu alimind kichizi yaani x-trail mpyaaa ikawa ndo hivyo tena......



dah,,mjin dsm hapa
maisha hayaeleweki eleweki
umdhaniae ndiye kumbe....!!
 
Back
Top Bottom