Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heeee........!!:confused2:ndio hiyo dear...hahahah
heeee........!!:confused2:
heeee........!!:confused2:
Kuanzia sasa nikienda shopping mlimani city ntakuwa naacha VOGUE yangu nyumbani, ntakuwa natumia MERCEDES BENZ AU BMW kama honey wangu atakuwa hajatoka nayo.
TZ eleven au?...........hahahahaa!
ile ESCALADE bado unayo....:glasses-nerdy:
umetisha.....jana nilisikia wambea wanasema eti unahusika kutengeneza ARV FAKE....Bado ninayo huwa naitumia kuendea kwenye corporate meetings siyo kwa ajili ya shopping.
umetisha.....jana nilisikia wambea wanasema eti unahusika kutengeneza ARV FAKE....
mama dunia ndo dunia hiyooo. iukistaajabu ya Musa utaona ya FirauniYaani nilifikiri wizi umedhibitiwa pale mlimani city kumbe bado bwana, yaani jana majira ya saa saba mchana nipo zanguu pale karibu kabisa na nilipopack kuna vijamaa viwili si vilikuwa vinaiba/yaani vishatoa site mirrors sijui nafikiri ndo walikuwa ktk process za kutoa na power window, sasa mmoja wao si akachoropoka gafla akabakia mmoja, amepewaje kipondo, yaani domo lilivimba, damu nk...tena jamaa mwenyewe ukiambiwa ni mjikibaka huwezi amini, jamaa mashallah handsome, kajazia jazia kidogo, mtanashati etc, yaani Dar ni zaidi ya ujuavyo , unaweza fikiri jamaa ana kazi zake kumbe mwizi, so kuweni makini pale. Jamaa wa gari iliyokuwa inakwapuliwa vitu alimind kichizi yaani X-trail mpyaaa ikawa ndo hivyo tena......
yaani nilifikiri wizi umedhibitiwa pale mlimani city kumbe bado bwana, yaani jana majira ya saa saba mchana nipo zanguu pale karibu kabisa na nilipopack kuna vijamaa viwili si vilikuwa vinaiba/yaani vishatoa site mirrors sijui nafikiri ndo walikuwa ktk process za kutoa na power window, sasa mmoja wao si akachoropoka gafla akabakia mmoja, amepewaje kipondo, yaani domo lilivimba, damu nk...tena jamaa mwenyewe ukiambiwa ni mjikibaka huwezi amini, jamaa mashallah handsome, kajazia jazia kidogo, mtanashati etc, yaani dar ni zaidi ya ujuavyo , unaweza fikiri jamaa ana kazi zake kumbe mwizi, so kuweni makini pale. Jamaa wa gari iliyokuwa inakwapuliwa vitu alimind kichizi yaani x-trail mpyaaa ikawa ndo hivyo tena......
![]()
kiduuuchu, ni kazi ya walinzi wale pale Mlimani City