Mlimani Primary School

Mlimani Primary School

[emoji23][emoji23][emoji23] NAKWEDE kwani ni ajabu? Mimi nimemaliza early 2000s na kama ningekuwa nimezaa mapema basi isingekuwa ajabu kuwa na mtoto aliyemaliza la saba
Rudisha Avatar yako
 
Mlimani primary ni shule mojawapo za serikali mkoani dar es salaam kuweza kwa miaka mingi ku maintain standard education. Na kisima cha mafanikio kwa wengi waliosoma hapo.
NIMEPITA WAMEIBADILISHA SANA NAHISI HATA BEI ZAKE MWENDO WA PRIV NA KULE NYUMA WANA PLAN KUWEKA SEC SOON NA WANAOTOKA PALE PRIORITY KUZAMA SEC YAO INAPENDEZA SANA...,..
Nakweli watastahili kuwa na sekondari
 
hata mimi nimeshangaa.. nimemaliza la 7 mwaka 2000.. now nipo around 30s nimezaa mapema tu. ila mwanangu hata la 3 hajafika.. niliwaza huyu aliemaliza miaka miwili mbele yangu.. ana mtoto kamaliza la saba , tena sio yeye peke yake na classmate wake ana mtoto kamaliza la saba nikajua chai tu
Hapana, mimi naona inawezekana kabisa. Umemaliza 2000, let's say ungezaa 2005 mtoto wako sasa hivi angekuwa na miaka mingapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haiwezekani bwana
Kamaliza la Saba 98 kazaa mwaka 99,2000 au 2001.

Binti wa mwaka 99,2000 au 2001 hawezi kuwa na mtoto?
 
Kati ya hawa yupi unamkumbuka au unamfahamu, Samson Beshobeza,Saada Pongwa na Julieth Tukay?
First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.

Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)


Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.

Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.


Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.


Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.
 
Kuna mdada alisoma shule za hela, mimi nimesoma shule ya serikali,
akiwa anaongea english mpaka nilikuwa najistkia muda mwingine.
Tulikuta kidato cha kwanza, akiwa anaongea kingeleza mpaka nikawa naogopa.
Mtihani umefika, ule wa kidato cha pili, masikini hata haonekani, amefeli vibaya sana.
Kumbe ni kingeleza cha kuongea tu, lakini mambo mengine namzidi mno
Kingeleza?? Weee fala tu, kweli umesoma kayumba,
 
Hapana, mimi naona inawezekana kabisa. Umemaliza 2000, let's say ungezaa 2005 mtoto wako sasa hivi angekuwa na miaka mingapi?

kama mimi peke yangu tu nizae 2005 ingewezekana... ila haiwezekani mimi na rafiki yangu classmate wangu wote tuzae 2005...

maana kwa mimi 2005 nina miaka 18 ningeweza kuzaa...ila mimi na classmate wangu marafiki wote tuzae tukiwa 18. na watoto wote wamalize la saba pamoja..hapo ndio chai inapoingia..
 
actualy kiingereza cha kuzungumza ni muhimu kuliko cha mitihani.. Kingine muhimu ujue cha kuandika
Ukishaongea ukapewa ofisi,.halafu ukaandika porojo, nani atakayekuamini sasa?
 
Nipo hapa Yombo Dovya primary school Alumn, watoto wa kishua tulikutana nao chuoni
 
First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.

Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)


Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.

Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.


Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.


Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.
Hoya unaizungumzia shule ya Msingi mlimani apa chuo cha dar es salaam au mlimani ipi? Mkuuu
 
kama mimi peke yangu tu nizae 2005 ingewezekana... ila haiwezekani mimi na rafiki yangu classmate wangu wote tuzae 2005...

maana kwa mimi 2005 nina miaka 18 ningeweza kuzaa...ila mimi na classmate wangu marafiki wote tuzae tukiwa 18. na watoto wote wamalize la saba pamoja..hapo ndio chai inapoingia..
Haha inawezekana kabisa, halafu amesema classmate wake hajasema rafiki. Mfano sisi darasa letu wadada kama wanne walifanya mtihani wakiwa na ujauzito kwa hiyo inawezekana
 
hata mimi nimeshangaa.. nimemaliza la 7 mwaka 2000.. now nipo around 30s nimezaa mapema tu. ila mwanangu hata la 3 hajafika.. niliwaza huyu aliemaliza miaka miwili mbele yangu.. ana mtoto kamaliza la saba , tena sio yeye peke yake na classmate wake ana mtoto kamaliza la saba nikajua chai tu
Zamani darasani kulikua na manjemba mkuu kumbuka sisi miaka hii tuliingia shule kwa kupima mkono mkuu kama haushiki sikio hauendi hata kama umri umefika
 
Haha inawezekana kabisa, halafu amesema classmate wake hajasema rafiki. Mfano sisi darasa letu wadada kama wanne walifanya mtihani wakiwa na ujauzito kwa hiyo inawezekana

mkoani inawezekana.. ila sio dar es salaam tena sio buza hapo tunaongelea shule ya msingi mlimani
labda kama hujui shule ya msingi mlimani miaka ya 1980 hadi 2000 ilikuwa wanafunzi wa familia za class gani.

ukweli mtoa mada ameweka chai.. hata yeye analijua hilo.. vijijini au hata mikoani inawezekana sana maana wengi sio geti kali na hakuna usimamizi mzuri wa wazaz.. mnazaa mapema hata kubeba mimba..ila sio watoto wa mlimani primary classmates wote marafiki wazae watoto wakiwa 16yrs....
 
mkoani inawezekana.. ila sio dar es salaam tena sio buza hapo tunaongelea shule ya msingi mlimani
labda kama hujui shule ya msingi mlimani miaka ya 1980 hadi 2000 ilikuwa wanafunzi wa familia za class gani
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom