Mlimba Morogoro jau sana, ikifika saa 9 jioni haujageuka Ifakara ndio nitolee hadi kesho hiyo!

Mlimba Morogoro jau sana, ikifika saa 9 jioni haujageuka Ifakara ndio nitolee hadi kesho hiyo!

Mbunge anasinzia tu bungeni! Unaenda safari hadi ufike utumbo wote unahisi upo kifuani...
Hakuna mishe ya to and fro kule. Lazima upige mishe hafu ulale uko uko.

Ujue km 150 za vumbi sio za kuchukulia poa. Tena vumbi mbovu.
 
Mbunge anasinzia tu bungeni! Unaenda safari hadi ufike utumbo wote unahisi upo kifuani...
Niliuliza anakaa wapi huyu mbunge wakasema town Ifakara.

IMG_0049.jpeg

Huwezi kupeleka VXR ile barabara aisee.
 
Maeneo ya posta kidg kuna usalama pia lakini kwa sasa maeneo yaliochangamka ni mashimoni kwani kuna bar nying nzuri na za kisasa na hata ukicheki califonia nayo ipi line ya mashimoni
Hayo maeneo ya Mashimoni yanapatikana pande zipi? Au ni kule Silent Inn! Au ni kule nyuma ya Msikiti?
 
Back
Top Bottom