kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Ahahahaa!! We jamaa Califonia akachungulie nini? Ugeni wangu uliochanganyika na uenyeji kuna siku nimekaa Califonia napiga maji ya Devi. Kama unavyojua kibofu kikaanza fujo.Mad Max next time ukija ni pm mzee mimi ni afisa usafirishaji almaarufu kama boda boda hapa ifoza mpk idete mzee tubadilishane mawazo.
Lakini siku ukifika tena ifoza ulizia califonia ni wapi hata ukachungulie🤣🤣
Nimeenda washroom nilichokutana nacho ni balaa 🤣 acha niishie hapa.