BABA BOMBASTIC
Senior Member
- Jul 10, 2024
- 146
- 246
Dar saa 8 daladala zipo??Sijawahi kufika hii mikoa miwili.
Kwahiyo unaweza ukashtuka usiku saa nane na ukaamua kutafuta usafiri /daladala ya kukupeleka sehemu ya dakika 45 mpaka saa 1 na ukapata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar saa 8 daladala zipo??Sijawahi kufika hii mikoa miwili.
Kwahiyo unaweza ukashtuka usiku saa nane na ukaamua kutafuta usafiri /daladala ya kukupeleka sehemu ya dakika 45 mpaka saa 1 na ukapata?
Hana gariFursa hiyo peleka ndinga uvune mahela.....
Humu jf hamna mtu hana gariHana gari
Hahahah. Kuna maeneo ni hatari kuishi. Halafu ndio mtaji wa chama tawala maeneo kama hayo.Kuna basi moja la saa 7 kama sikosei inaitwa SARDINI / SADINI hilo likienda leo linarud kesho alfajiri..
Ndani kuna chawa, viroboto kama wote, na siti zake ni 2 by 3 mlango mmoja.. ndani kunapakiwa kila aina ya mzigo.
Sasa usiombe ukae siti za nyuma nyuma alafu unataka kushuka😂 utachagua ushukie dirishani au utambae juu ya siti kama buibui.
Yeaaah mzee karibu saana pia ukitaka ufurahie mji wa ifakara njoo mwezi wa saba-tisa hapa utahisi kama wenyeji wamechanganyikiwa lakini ndio maisha yao ni mwendo wa furaha tu wenyeji tupo tayari tuuze magunia kumi ya mpunga tuweke kigodoro kweny birthday ya mtoto.Hahaha dah sikujua aisee. Nitarudi nitapitia hii comment
Arusha labda iwe imebadilika siku hizi miaka 8-10 iliyopita, pale mjini tu ikifika saa 2 ilikuwa shida.Sijawahi kufika hii mikoa miwili.
Kwahiyo unaweza ukashtuka usiku saa nane na ukaamua kutafuta usafiri /daladala ya kukupeleka sehemu ya dakika 45 mpaka saa 1 na ukapata?
Mkuu unazungumzia ifakara ya mwaka gani? Wewe nadhni una miaka zaidi ya 10 hujafika ifoza na nadhani uliacha stand bado ni kwa makali. Ifakara magari yapo yanayoenda moro town kuanzia saa 12 asbhi mpka saa 11:30 jioni na sasa barabara ni lami mpaka saa moja kuna magari hapa nazungumzia mabasi ya tata. Na kutoka ifakara kwenda wilaya zingine mfano kwenda mahenge mpka mwaya magari mpka saa mbili usiku malinyi pia mpk saa mbil kidg mlimba ndio saa moja mwish kupata gani.Kule kuna maisha ya kukariri.
Watu wengi husafiri asubuhi na mchana kabla ya saa 9.
Zaidi ya hapo ukiona gari labda ya serikali/kanisa au la wagonjwa.
Kule bado wapo nyuma sana.
Fika Buguruni/ Magomeni unapata usafiri wa kokoteDar saa 8 daladala zipo??
Uje tu tuonyeshane mitaa 😅Gidhim,Tumati,Endamilay,Qamtananat,Geterer,Hyderer!
Kuna sehem inaitwa IMALAMPAKA ipo Tabora.. huko ukienda unahisi haurudi tena.. nilipanda aina zote za Usafiri, Boda, Bus, mpaka Punda kasoro treni, Meli na ndege.
[/QUOT
hahaaaa eti unahisi haurudi. mkuu hii nchi nikubwa mnoo. kuna sehemu watu wakiona gari wanaitana kushangaa watoto wanalia kwa woga
Dah!😂Kuna basi moja la saa 7 kama sikosei inaitwa SARDINI / SADINI hilo likienda leo linarud kesho alfajiri..
Ndani kuna chawa, viroboto kama wote, na siti zake ni 2 by 3 mlango mmoja.. ndani kunapakiwa kila aina ya mzigo.
Sasa usiombe ukae siti za nyuma nyuma alafu unataka kushuka😂 utachagua ushukie dirishani au utambae juu ya siti kama buibui.
hahahaaa. kama buibuiKuna basi moja la saa 7 kama sikosei inaitwa SARDINI / SADINI hilo likienda leo linarud kesho alfajiri..
Ndani kuna chawa, viroboto kama wote, na siti zake ni 2 by 3 mlango mmoja.. ndani kunapakiwa kila aina ya mzigo.
Sasa usiombe ukae siti za nyuma nyuma alafu unataka kushuka😂 utachagua ushukie dirishani au utambae juu ya siti kama buibui.
Nilikuwa hapo mwezi wa sita 2024 unataka niweke risiti za mafuta nilizoweka kwenye vituo vya mafuta huko Ifakara??Mkuu unazungumzia ifakara ya mwaka gani? Wewe nadhni una miaka zaidi ya 10 hujafika ifoza na nadhani uliacha stand bado ni kwa makali. Ifakara magari yapo yanayoenda moro town kuanzia saa 12 asbhi mpka saa 11:30 jioni na sasa barabara ni lami mpaka saa moja kuna magari hapa nazungumzia mabasi ya tata. Na kutoka ifakara kwenda wilaya zingine mfano kwenda mahenge mpka mwaya magari mpka saa mbili usiku malinyi pia mpk saa mbil kidg mlimba ndio saa moja mwish kupata gani.
Sasa sijajua unaisemea ifakara ipi na ya mwaka gani
sote humu ni maboss dadaangu.Humu jf hamna mtu hana gari
Dsm daladala zipo muda wote.Dar saa 8 daladala zipo??
Pisi Nyeupe za kumwaga grediwani....niko TUMATI nimepiga kambiHaydom, Dongobesh
Hahaha Madunga siondoki hata mlete GREDA!!!!Gidhim,Tumati,Endamilay,Qamtananat,Geterer,Hyderer!