Mlinzi wa Hayati Rais Moi alikuwa Commando. Je, Tanzania mlinzi anamchunga au anamlinda Rais?

Mlinzi wa Hayati Rais Moi alikuwa Commando. Je, Tanzania mlinzi anamchunga au anamlinda Rais?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Mlinzi wa Moi alikuwa commando.
Yule mtu aliyekuwa anaongoza ulinzi wa hayati Moi alikuwa ni Commando aliyepata mafunzo Israel.
Anaeleza alivyopata mafunzo halafu akarudi Kenya kufanya kazi ya kumchunga Rais.
Yule anasema alikuwa anafanya kazi ya "kumchunga" Rais.
Ndiyo swali ambalo najiuliza; walinzi wa Mama Samia ,au wasaidizi wake,nao pia wanafanya kazi ya "kumchunga" Mama Samia?
Yaani,swali langu ni mlinzi anamchunga kiongozi au anamlinda?
Never mind what the Kenyan said or why he spoke that way

Ni Jambo gani linatokea in practice. Mheshimiwa Samia anachungwa au analindwa?
 
Kwa kuwa Kenya wana Kiswahili tofauti na sisi unaweza kuta huyo mlinzi anamaanisha kumlinda rais. Hata Zanzibar hapo nadhani wangesema kumchunga rais ila maana ni ileile kumlinda. Kwanza mlinzi gani umemaanisha, aide de camp au yule mwingine anayekuwa kama bodyguard (kwa case ya Magufuli).

Kutumia walinzi wa VIP waliosomea nje mafunzo yao siafikiani nalo sana. Hata CDF si vema awe kapata mafunzo nje. Hata hawa TISS mtu kama kafanya kazi nje kisha ukampa cheo kikubwa sana sana ndani unakaribisha moles na double agents karibu. Sisi Tanzania eti mtu anastaafu kuwa DG wa TISS alafu anaenda kuwa balozi kule Namibia. Sasa foreign intelligence agencies wakitaka taarifa zetu si ni kama wanamsukuma mlevi. Miaka ya Nyerere 'nasikia' kuna watu walikuwa hawaruhusiwi kuonekana mpakani au airport
 
Kwa kuwa Kenya wana Kiswahili tofauti na sisi unaweza kuta huyo mlinzi anamaanisha kumlinda rais. Hata Zanzibar hapo nadhani wangesema kumchunga rais ila maana ni ileile kumlinda. Kwanza mlinzi gani umemaanisha, aide de camp au yule mwingine anayekuwa kama bodyguard (kwa case ya Magufuli).

Kutumia walinzi wa VIP waliosomea nje mafunzo yao siafikiani nalo sana. Hata CDF si vema awe kapata mafunzo nje. Hata hawa TISS mtu kama kafanya kazi nje kisha ukampa cheo kikubwa sana sana ndani unakaribisha moles na double agents karibu. Sisi Tanzania eti mtu anastaafu kuwa DG wa TISS alafu anaenda kuwa balozi kule Namibia. Sasa foreign intelligence agencies wakitaka taarifa zetu si ni kama wanamsukuma mlevi. Miaka ya Nyerere 'nasikia' kuna watu walikuwa hawaruhusiwi kuonekana mpakani au airport
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
 
Yaani mlinzi wa Kiongozi,msaidizi wa kiongozi,anaitwa,"handler"
Ndio nauliza kama Mama Samia ana washauri au ana " ,handlers" ambao wanahakikisha kwamba hatoki nje ya mstari?
Maafa tu yanaisubiri Tanzania.
Sasa umewasikia watu wanasema Rehema Nchimbi awe Katibu Mkuu.
Nadhani Sasa hivi CDF atabadilishwa ili awekwe mwanamke.
Kama udikteta wa Magufuli. Alianza dikteta mmoja, Magufuli,the people were not perturbed. Halafu ikatokea avalanche ya dictators.
Kwa hiyo wanaosema hawajali Samia Suluhu kuwa kiongozi lazima wajue wanasema nini.
 
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
Du jamaa alikuwa balaa sn
 
Kwa kuwa Kenya wana Kiswahili tofauti na sisi unaweza kuta huyo mlinzi anamaanisha kumlinda rais. Hata Zanzibar hapo nadhani wangesema kumchunga rais ila maana ni ileile kumlinda. Kwanza mlinzi gani umemaanisha, aide de camp au yule mwingine anayekuwa kama bodyguard (kwa case ya Magufuli).

Kutumia walinzi wa VIP waliosomea nje mafunzo yao siafikiani nalo sana. Hata CDF si vema awe kapata mafunzo nje. Hata hawa TISS mtu kama kafanya kazi nje kisha ukampa cheo kikubwa sana sana ndani unakaribisha moles na double agents karibu. Sisi Tanzania eti mtu anastaafu kuwa DG wa TISS alafu anaenda kuwa balozi kule Namibia. Sasa foreign intelligence agencies wakitaka taarifa zetu si ni kama wanamsukuma mlevi. Miaka ya Nyerere 'nasikia' kuna watu walikuwa hawaruhusiwi kuonekana mpakani au airport
Mtu hatakiwi kuonekana airport wala mpakani dooh hatari hii😀😀😀😀
 
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
Hebu Fanya Threat analysis vizuri. Nenda mbali zaidi kwa kuangalia kwenye hii dunia yenye nchi lukuki upate takwimu za CDF na Spy Master /DG wangapi baada ya kuondoka kwenye nafasi za kuongoza Taasisi hizo walipelekwa Nje kufanya majukumu mengine.

Ukipata takwimu then jiulize ni kwanini. Otherwise tuseme sisi tunajua zaidi

Ninachoamini ni kwamba wenzetu wa mataifa Mengi wanaheshimu na Kuzingatia suala la KUZUIA ZAIDI
 
Nilikuwa sijui kwamba Mahiga aliwahi kuiongpza TISS. Ilikuwa ni mwaka gani huo?
 
Yaani mlinzi wa Kiongozi,msaidizi wa kiongozi,anaitwa,"handler"
Ndio nauliza kama Mama Samia ana washauri au ana " ,handlers" ambao wanahakikisha kwamba hatoki nje ya mstari?
Maafa tu yanaisubiri Tanzania.
Sasa umewasikia watu wanasema Rehema Nchimbi awe Katibu Mkuu.
Nadhani Sasa hivi CDF atabadilishwa ili awekwe mwanamke.
Kama udikteta wa Magufuli. Alianza dikteta mmoja, Magufuli,the people were not perturbed. Halafu ikatokea avalanche ya dictators.
Kwa hiyo wanaosema hawajali Samia Suluhu kuwa kiongozi lazima wajue wanasema nini.
Tukifikia hiyo hatua sasa tunapotea.
 
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
Utaona kwamba mifumo ya ulinzi kwa nchi nyingi za Afrika iko kutetea maslahi ya viongozi na utawala uliopo. Hawana lengo kuu la kulinda maslahi ya nchi, ndio maana wanahatarisha siri za nchi kuvuja kwa kusukumiza wenye nazo nje. Wapi utakuta DG mstaafu wa CIA, FBI, MOSSAD, FSB, M16 au shirika lolote la nchi kubwa duniani anaenda nje kuwa balozi.

Majasusi wote wana security clearance, ili awe mole au double agent lazima kwanza awe anaaminika kwao vinginevyo hatopewa kazi au atalishwa taarifa za uongo. Hiyo security clearance mbona isitumike kuishi nao hapa.

Tatizo kukaa nao nchini ni shida maana hutowapa house arrest bila sababu hivo watakuwa mtaani. Ila kuwapeleka nje ni shida kwa nchi.
 
Mlinzi wa Moi alikuwa commando.
Yule mtu aliyekuwa anaongoza ulinzi wa hayati Moi alikuwa ni Commando aliyepata mafunzo Israel.
Anaeleza alivyopata mafunzo halafu akarudi Kenya kufanya kazi ya kumchunga Rais.
Yule anasema alikuwa anafanya kazi ya "kumchunga" Rais.
Ndiyo swali ambalo najiuliza; walinzi wa Mama Samia ,au wasaidizi wake,nao pia wanafanya kazi ya "kumchunga" Mama Samia?
Yaani,swali langu ni mlinzi anamchunga kiongozi au anamlinda?
Never mind what the Kenyan said or why he spoke that way

Ni Jambo gani linatokea in practice. Mheshimiwa Samia anachungwa au analindwa?
Na wewe boya kweli,wakenya hawajui kiswahili
 
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
Unafahamu Mahiga alikuwa na phd mwaka 72 sema Nyerere alikuwa na vichwa
 
Mlinzi wa Moi alikuwa commando.
Yule mtu aliyekuwa anaongoza ulinzi wa hayati Moi alikuwa ni Commando aliyepata mafunzo Israel.
Anaeleza alivyopata mafunzo halafu akarudi Kenya kufanya kazi ya kumchunga Rais.
Yule anasema alikuwa anafanya kazi ya "kumchunga" Rais.
Ndiyo swali ambalo najiuliza; walinzi wa Mama Samia ,au wasaidizi wake,nao pia wanafanya kazi ya "kumchunga" Mama Samia?
Yaani,swali langu ni mlinzi anamchunga kiongozi au anamlinda?
Never mind what the Kenyan said or why he spoke that way

Ni Jambo gani linatokea in practice. Mheshimiwa Samia anachungwa au analindwa?
Kiswahili cha kenya ndio kinatuchanganya tu.
 
Hata hayati Magufuli alikuwa anawaita "wale wanaonichunga" akiwa na maana kwamba wanamchunga hivyo hawa jamaa wanamchunga na kumlinda rais.
 
Mlinzi wa Moi alikuwa commando.
Yule mtu aliyekuwa anaongoza ulinzi wa hayati Moi alikuwa ni Commando aliyepata mafunzo Israel.
Anaeleza alivyopata mafunzo halafu akarudi Kenya kufanya kazi ya kumchunga Rais.
Yule anasema alikuwa anafanya kazi ya "kumchunga" Rais.
Ndiyo swali ambalo najiuliza; walinzi wa Mama Samia ,au wasaidizi wake,nao pia wanafanya kazi ya "kumchunga" Mama Samia?
Yaani,swali langu ni mlinzi anamchunga kiongozi au anamlinda?
Never mind what the Kenyan said or why he spoke that way

Ni Jambo gani linatokea in practice. Mheshimiwa Samia anachungwa au analindwa?
 
Mzee iko ivi hawa Spymaster wanatolewa Nchini for good sake kwa mana wana Information clearance kubwa sana mataifa mengi ya nje sio threat sana kwetu ukiachilia Hawa nearby ndo mana unaona Kipilimba yupo Namibia, Kumuacha nchini ni hatari mana anaweza kutumika na maadaui wa ndani kuhujuma serikali, Hata nyerere alimtoa Mahiga baada ya kushuhudia na kuwa sehemu ya kuzima mapinduzi aliyotaka kufanyiwa nyerere he had clearance kubwa na data na he was loyal ndo mana akawa balozi nje huko ili atoke nchini, at age of 35 Mahiga alikuwa DG wa TISS
Na nje akawa kipenzi cha watu wa magharibi
 
Back
Top Bottom