Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Nawaza kama kaweza kutoa 592 kama zawadi,je ni kias gani anachukua na kutunza kwenye acc za siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi hapo eti Rais akitoa mil. 500 Kwa Taifa Stars kuingia Afcon, Leo tena eti anatoa mil. 92 Kwa Ndondo Cup.
Hata Kama ni Kuunga mkono Michezo,kutapanya pesa za Walipakodi Kwa wingi huu Haikubaliki.
Matokeo yake badala ya watu kufurahia inatuma ujumbe wa Moja kwa Moja kwamba anatumia pesa za Umma vibaya.
Kwa mda mfupi kutoa mil. 592 kwa Ajili ya zawadi sioni kama Ina Tija. Zawadi zitolewe ila sio Kwa wingi huu maana Kuna maelfu ya mahitaji ya watu.
Sijui washauri wa Rais wanafanya nini,kama ni mambo ya kutafuta uungwaji mkono Kisiasa ni mara mia akiwa kwenye ziara au kwenye makongamano huko watu wanakoelezea Changamoto zao akawapa hizo hela itamsaidia kuliko hii ya sasa.
Mfano uko ziarani Wananchi wamechangia majengo Yao Nguvu ikaisha hapo ndio ukichangia hata mil.100 watafutahi Kwa kutatua shida Yao.Binafsi sijafurahishwa na hili kabisa it is too much.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuiunga mkono Ndondo Cup kwa kuchangia Tsh. mil Tsh. 92 milioni kwa Washindi wa Ligi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa leo katika Studio za @CloudsFMTZ Mikocheni amekabidhi zawadi kwa Washindi wa Ndondo Cup ambapo mgawanyiko wa zawadi kwa Timu zilizoshiriki Ndondo Cup 2023 msimu huu kuanzia hatua ya makundi jumla yake ni Tsh. 92 milioni.
Msigwa amekabidhi fedha hizo kwenye kipindi cha #SportsXra kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ndondo Cup ni Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoasisiwa na Clouds Media Group chini ya Mtangazaji Shaffih Dauda ambayo hufanyika kila mwaka na kuvipa nafasi vipaji vya Wakali wa soka kuanzia ngazi ya mtaa.
View: https://www.instagram.com/p/CxJT8G2RJ5X/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Ofisi ya Rais Hadi DC Huwa Ina pesa za mambo hayo ila Sasa kuwe na regulations isiwe kadiri tuu Kiongozi anavyojiskiaHii ndio point. Rais hawezi kuamka tu na kusema ananunua kila goli million kadhaa au anatoa kiasi kadhaa kwa watu fulani.
Unless hizo hela ziwe anatoa kwenye mshahara wake. Watu wanalia na ugumu wa maisha lakini vitendo vinavyofanywa na watawala ni vyakinyama kabisa.
Wizara ya Michezo haikuwa na budget kwaajili ya timu ya taifa?
Hata huyo Magufuli nae alikuwa anatapanya sana pesa Kwa kugawa hovyo Kwenye ziara zake kutafuta umaarufu.Kuna Clip moja nilimsikia late Magufuri akisema" Laiti Samia asingekuwa mwanamke basi Makamo wake angekuwa Husein Mwinyi" sasa hivi tusingekuwa na haya mashaka.
Kuna fedha za mfuko wa rais, hizo hata CAG haruhusiwi kuzikagua. Hizo ndio fedha zinazotumika kufanya chochote atakacho rais ili kujibrand, ikiwemo vikundi vya kumpamba, na hata ikibidi kuwa na kundi la watu wasiojulikana. Lengo la fedha hizi ni kumtakatisha rais hata awe anachemsha vipi.Hii ndio point. Rais hawezi kuamka tu na kusema ananunua kila goli million kadhaa au anatoa kiasi kadhaa kwa watu fulani.
Unless hizo hela ziwe anatoa kwenye mshahara wake. Watu wanalia na ugumu wa maisha lakini vitendo vinavyofanywa na watawala ni vyakinyama kabisa.
Wizara ya Michezo haikuwa na budget kwaajili ya timu ya taifa?
Sasa Bajeti ya michezo iongezwe kwenye Wizara sio kutoa toa hela bila utaratibuJambo nzuri sana mm kama aongeze pesa kwenye budget ya michezo angalau huko kunaoneka impact yake kwa urahisi..
Viwanja vya michezo viboreshwe wavutie wawekezaji wengi kwenye michezo..
Itasaidia kutangaza nchi sana..
Hela zote ziwe na utaratibu wa matumizi hata kama CAG haruhusiwi kukagua.Kuna fedha za mfuko wa rais, hizo hata CAG haruhusiwi kuzikagua. Hizo ndio fedha zinazotumika kufanya chochote atakacho rais ili kujibrand, ikiwemo vikundi vya kumpamba, na hata ikibidi kuwa na kundi la watu wasiojulikana. Lengo la fedha hizi ni kumtakatisha rais hata awe anachemsha vipi.
Mara nyingi sheria ya fedha za aina hii hupendekezwa na kupitishwa na washauri wa serikali zilizopoteza ushawishi kwa umma.
Haya ndio madhara ya kupoteza ushawishi kwa umma. Unafanya chochote ili kujustfy kuwa bado unakubalika na umma. Hii naifananisha na yule mwanaume anayehonga sana na kuishia kuchunwa ili kulazimisha penzi.Ofisi ya Rais Hadi DC Huwa Ina pesa za mambo hayo ila Sasa kuwe na regulations isiwe kadiri tuu Kiongozi anavyojiskia
Hizo pesa zipo sio lazima kwamba zitumike ku justify kukubalika, viongozi mara nyingi wanaalikwa na taasisi mbalimbali hizo taasisi zinaomba michango , unadhani Kiongozi atatoa mfukoni mwake Kwa kipato binafsi ataweza?Haya ndio madhara ya kupoteza ushawishi kwa umma. Unafanya chochote ili kujustfy kuwa bado unakubalika na umma. Hii naifananisha na yule mwanaume anayehonga sana na kuishia kuchunwa ili kulazimisha penzi.
Naunga mkono hoja 👍👍Usiwalaumu bure washauri wake, huyu Mama ana dharau na kiburi sana!
Juzi hapo eti Rais akitoa mil. 500 Kwa Taifa Stars kuingia Afcon, Leo tena eti anatoa mil. 92 Kwa Ndondo Cup.
Hata Kama ni Kuunga mkono Michezo,kutapanya pesa za Walipakodi Kwa wingi huu Haikubaliki.
Matokeo yake badala ya watu kufurahia inatuma ujumbe wa Moja kwa Moja kwamba anatumia pesa za Umma vibaya.
Kwa mda mfupi kutoa mil. 592 kwa Ajili ya zawadi sioni kama Ina Tija. Zawadi zitolewe ila sio Kwa wingi huu maana Kuna maelfu ya mahitaji ya watu.
Sijui washauri wa Rais wanafanya nini,kama ni mambo ya kutafuta uungwaji mkono Kisiasa ni mara mia akiwa kwenye ziara au kwenye makongamano huko watu wanakoelezea Changamoto zao akawapa hizo hela itamsaidia kuliko hii ya sasa.
Mfano uko ziarani Wananchi wamechangia majengo Yao Nguvu ikaisha hapo ndio ukichangia hata mil.100 watafutahi Kwa kutatua shida Yao.Binafsi sijafurahishwa na hili kabisa it is too much.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuiunga mkono Ndondo Cup kwa kuchangia Tsh. mil Tsh. 92 milioni kwa Washindi wa Ligi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa leo katika Studio za @CloudsFMTZ Mikocheni amekabidhi zawadi kwa Washindi wa Ndondo Cup ambapo mgawanyiko wa zawadi kwa Timu zilizoshiriki Ndondo Cup 2023 msimu huu kuanzia hatua ya makundi jumla yake ni Tsh. 92 milioni.
Msigwa amekabidhi fedha hizo kwenye kipindi cha #SportsXra kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ndondo Cup ni Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoasisiwa na Clouds Media Group chini ya Mtangazaji Shaffih Dauda ambayo hufanyika kila mwaka na kuvipa nafasi vipaji vya Wakali wa soka kuanzia ngazi ya mtaa.
View: https://www.instagram.com/p/CxJT8G2RJ5X/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Acha chokochoko, mama anaupiga mwingi!!Juzi hapo eti Rais akitoa mil. 500 Kwa Taifa Stars kuingia Afcon, Leo tena eti anatoa mil. 92 Kwa Ndondo Cup.
Hata Kama ni Kuunga mkono Michezo,kutapanya pesa za Walipakodi Kwa wingi huu Haikubaliki.
Matokeo yake badala ya watu kufurahia inatuma ujumbe wa Moja kwa Moja kwamba anatumia pesa za Umma vibaya.
Kwa mda mfupi kutoa mil. 592 kwa Ajili ya zawadi sioni kama Ina Tija. Zawadi zitolewe ila sio Kwa wingi huu maana Kuna maelfu ya mahitaji ya watu.
Sijui washauri wa Rais wanafanya nini,kama ni mambo ya kutafuta uungwaji mkono Kisiasa ni mara mia akiwa kwenye ziara au kwenye makongamano huko watu wanakoelezea Changamoto zao akawapa hizo hela itamsaidia kuliko hii ya sasa.
Mfano uko ziarani Wananchi wamechangia majengo Yao Nguvu ikaisha hapo ndio ukichangia hata mil.100 watafutahi Kwa kutatua shida Yao.Binafsi sijafurahishwa na hili kabisa it is too much.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuiunga mkono Ndondo Cup kwa kuchangia Tsh. mil Tsh. 92 milioni kwa Washindi wa Ligi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa leo katika Studio za @CloudsFMTZ Mikocheni amekabidhi zawadi kwa Washindi wa Ndondo Cup ambapo mgawanyiko wa zawadi kwa Timu zilizoshiriki Ndondo Cup 2023 msimu huu kuanzia hatua ya makundi jumla yake ni Tsh. 92 milioni.
Msigwa amekabidhi fedha hizo kwenye kipindi cha #SportsXra kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ndondo Cup ni Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoasisiwa na Clouds Media Group chini ya Mtangazaji Shaffih Dauda ambayo hufanyika kila mwaka na kuvipa nafasi vipaji vya Wakali wa soka kuanzia ngazi ya mtaa.
View attachment 2748701View attachment 2748702View attachment 2748703
Kiufupi anaupiga mwingi sana ila Baadhi ya mambo hapanaAcha chokochoko, mama anaupiga mwingi!!