Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Serikali kutoa hizo pesa Tsh hakuathiri chochote uchumi, zaidi zaidi kunausisimua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yenu hakubaliki,anatoa hongo ili akubalikeJuzi hapo eti Rais akitoa mil. 500 Kwa Taifa Stars kuingia Afcon, Leo tena eti anatoa mil. 92 Kwa Ndondo Cup.
Hata Kama ni Kuunga mkono Michezo,kutapanya pesa za Walipakodi Kwa wingi huu Haikubaliki.
Matokeo yake badala ya watu kufurahia inatuma ujumbe wa Moja kwa Moja kwamba anatumia pesa za Umma vibaya.
Kwa mda mfupi kutoa mil. 592 kwa Ajili ya zawadi sioni kama Ina Tija. Zawadi zitolewe ila sio Kwa wingi huu maana Kuna maelfu ya mahitaji ya watu.
Sijui washauri wa Rais wanafanya nini,kama ni mambo ya kutafuta uungwaji mkono Kisiasa ni mara mia akiwa kwenye ziara au kwenye makongamano huko watu wanakoelezea Changamoto zao akawapa hizo hela itamsaidia kuliko hii ya sasa.
Mfano uko ziarani Wananchi wamechangia majengo Yao Nguvu ikaisha hapo ndio ukichangia hata mil.100 watafutahi Kwa kutatua shida Yao.Binafsi sijafurahishwa na hili kabisa it is too much.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuiunga mkono Ndondo Cup kwa kuchangia Tsh. mil Tsh. 92 milioni kwa Washindi wa Ligi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa leo katika Studio za @CloudsFMTZ Mikocheni amekabidhi zawadi kwa Washindi wa Ndondo Cup ambapo mgawanyiko wa zawadi kwa Timu zilizoshiriki Ndondo Cup 2023 msimu huu kuanzia hatua ya makundi jumla yake ni Tsh. 92 milioni.
Msigwa amekabidhi fedha hizo kwenye kipindi cha #SportsXra kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ndondo Cup ni Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoasisiwa na Clouds Media Group chini ya Mtangazaji Shaffih Dauda ambayo hufanyika kila mwaka na kuvipa nafasi vipaji vya Wakali wa soka kuanzia ngazi ya mtaa.
View attachment 2748701View attachment 2748702View attachment 2748703
Kiufupi anaupiga mwingi sana ila Baadhi ya mambo hapana
View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1702215499961028649?t=Vke8XNFAi9Q8KvH8bQ_cvQ&s=19
Ni wewe au??!Juzi hapo eti Rais akitoa mil. 500 Kwa Taifa Stars kuingia Afcon, Leo tena eti anatoa mil. 92 Kwa Ndondo Cup.
Hata Kama ni Kuunga mkono Michezo,kutapanya pesa za Walipakodi Kwa wingi huu Haikubaliki.
Matokeo yake badala ya watu kufurahia inatuma ujumbe wa Moja kwa Moja kwamba anatumia pesa za Umma vibaya.
Kwa mda mfupi kutoa mil. 592 kwa Ajili ya zawadi sioni kama Ina Tija. Zawadi zitolewe ila sio Kwa wingi huu maana Kuna maelfu ya mahitaji ya watu.
Sijui washauri wa Rais wanafanya nini,kama ni mambo ya kutafuta uungwaji mkono Kisiasa ni mara mia akiwa kwenye ziara au kwenye makongamano huko watu wanakoelezea Changamoto zao akawapa hizo hela itamsaidia kuliko hii ya sasa.
Mfano uko ziarani Wananchi wamechangia majengo Yao Nguvu ikaisha hapo ndio ukichangia hata mil.100 watafutahi Kwa kutatua shida Yao.Binafsi sijafurahishwa na hili kabisa it is too much.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuiunga mkono Ndondo Cup kwa kuchangia Tsh. mil Tsh. 92 milioni kwa Washindi wa Ligi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa leo katika Studio za @CloudsFMTZ Mikocheni amekabidhi zawadi kwa Washindi wa Ndondo Cup ambapo mgawanyiko wa zawadi kwa Timu zilizoshiriki Ndondo Cup 2023 msimu huu kuanzia hatua ya makundi jumla yake ni Tsh. 92 milioni.
Msigwa amekabidhi fedha hizo kwenye kipindi cha #SportsXra kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ndondo Cup ni Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoasisiwa na Clouds Media Group chini ya Mtangazaji Shaffih Dauda ambayo hufanyika kila mwaka na kuvipa nafasi vipaji vya Wakali wa soka kuanzia ngazi ya mtaa.
View attachment 2748701View attachment 2748702View attachment 2748703
Hiyo ni PRInahitajika mfumo mzuri wa kusapoti michezo kwa hapa nchini, ambapo ukiwekwa mfumo mzuri wa mapato na watu wakaona kuna umuhimu wa kufatilia michezo basi hata hizo pesa za zawadi za pongezi zinaweza zikatoka katika mapato yatokanayo na michezo hiyohiyo.
Acha roho mbaya tena ya kipumbavu, hiyo ni motisha mzee naona ni jambo la kawaida kabisawachezaji hao ni jukumu Lao kulipanbania Taifa na sio ombi, si ndo kazi Yao bhana , na wanalipwa mshahara , asa inawaongezea hzo ili iweje ,
Account za siri, umezijuaje..? acha ujuhaNawaza kama kaweza kutoa 592 kama zawadi,je ni kias gani anachukua na kutunza kwenye acc za siri