Kwa hiyo picha ikiwekwa hapa wewe ndio utafarijika kumuona mtoto wa miaka 12 kavaa gauni la mama yake na sasa hivi ana miaka 29 ana watoto wa 3 na wanawake kibao.
Kwanini watu hautupendi kudeal na matatizo yetu badala yake tunadhani maisha ya wengine ndio faraja yetu?