Mlio karibu na Diamond mwambieni hajui kuvaa ajirekebishe

Mlio karibu na Diamond mwambieni hajui kuvaa ajirekebishe

Kwa hiyo picha ikiwekwa hapa wewe ndio utafarijika kumuona mtoto wa miaka 12 kavaa gauni la mama yake na sasa hivi ana miaka 29 ana watoto wa 3 na wanawake kibao.

Kwanini watu hautupendi kudeal na matatizo yetu badala yake tunadhani maisha ya wengine ndio faraja yetu?
Inaonekana unamfuatilia sana idadi ya watoto mpka madem!
 
Watu wanaojua kuvaa Africa ni Wa Congo, Nigeria, Misr
 
Back
Top Bottom