FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ipo siku Nchi itauzwa in Jobs voiceEti jamani, hasa nyie mlio kwenye system hebu tupeni mwanga kidogo; ni kwanini mikataba inayoingia serikali huwa inafanywa kiwa siri kiasi mwananchi wa kawaida hapaswi kabisa kujua.
Mathalani hii mikataba ya mikopo, ni kwanini msiiweke hadharani ili tujue masharti yake yakoje, why?
System unayoisema nayo pia imeshaharibika Mkuu.Eti jamani, hasa nyie mlio kwenye system hebu tupeni mwanga kidogo; ni kwanini mikataba inayoingia serikali huwa inafanywa kiwa siri kiasi mwananchi wa kawaida hapaswi kabisa kujua.
Mathalani hii mikataba ya mikopo, ni kwanini msiiweke hadharani ili tujue masharti yake yakoje, why?
We akili yako imelala sana...For national interests/maslahi mapana ya Taifa..
Si kila kitu chafaa kuwa wazi.,
Na raia wakipewa wana input gani ss zaidi ya kelele km zinazoendelea twitter kuhusu speech ya Mama?.!
Hapo hakuna maslahi ya taifa, maana mtu anaenda anajikopea tu mihela kwa masharti anayoyajua yeye tu, hii sio sawa, mikataba hasa hii ya mikopo yenye masharti na riba za ajabu ajabu inaweza ikasababisha siku tukaja kupigwa mnada, mikataba iwe wazi sote tuisome na tuielewe, WaTanzania sio ng’ombe!!For national interests/maslahi mapana ya Taifa..
Si kila kitu chafaa kuwa wazi.,
Na raia wakipewa wana input gani ss zaidi ya kelele km zinazoendelea twitter kuhusu speech ya Mama?.!
HahhahaHapo hakuna maslahi ya taifa, maana mtu anaenda anajikopea tu mihela kwa masharti anayoyajua yeye tu, hii sio sawa, mikataba hasa hii ya mikopo yenye masharti na riba za ajabu ajabu inaweza ikasababisha siku tukaja kupigwa mnada, mikataba iwe wazi sote tuisome na tuielewe, WaTanzania sio ng’ombe!!
Haya subirini watawekea kwenye gazeti la Majira msomeWe akili yako imelala sana...
Ivi unahamini mwananchi ndio mwenye nchi.. so unapo mnyima taarifa nyeti za nchi inakuaje? Hapo
Serikali yoyote inayowanyima wananchi wake taarifa basi hiyo siyo serikali ya wananchi
Wajibi wa serikali kwa mwananchi ni kuweka taarifa zote wazi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa..siyo unakopa unajificha then likibuma unaachiaTaifa msala la madeni
Yasiyo na kichwa wala miguu
Mfano jiwe alikopa kununua ndege na kufanya miradi isiyotekelezeka kimikakati...
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadaye Naomba Msamaha WatanzaniaIpo siku Nchi itauzwa in Jobs voice
Eti jamani, hasa nyie mlio kwenye system hebu tupeni mwanga kidogo; ni kwanini mikataba inayoingia serikali huwa inafanywa kiwa siri kiasi mwananchi wa kawaida hapaswi kabisa kujua.
Mathalani hii mikataba ya mikopo, ni kwanini msiiweke hadharani ili tujue masharti yake yakoje, why?
System unayoisema nayo pia imeshaharibika Mkuu.
Inaonekana na mteja wa kuinunua anamjuaIpo siku Nchi itauzwa in Jobs voice