Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Una utani na hao walioshidwa kwa K. Chiefs?CCM ushindi ni mapema kama Kaizer Chiefs!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una utani na hao walioshidwa kwa K. Chiefs?CCM ushindi ni mapema kama Kaizer Chiefs!
Hoja zako zinajikoroga1.Kuna makubaliano kati ya Chadema na ACT kuwa wasimamishe mgombea mmoja kuepuka kugawana kura.
2. Chadema hairidhiki na NEC hii kusimamia uchaguzi wowote.
1.Kuna makubaliano kati ya Chadema na ACT kuwa wasimamishe mgombea mmoja kuepuka kugawana kura.
2. Chadema hairidhiki na NEC hii kusimamia uchaguzi wowote.
haki mbinguni huko,huku ni pilika ndio uma survive[emoji23][emoji23][emoji23].Kwa mbinu za 2020 na 2019 mtashinda lkn kwa haki bin haki hamtoboi katu