verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
"Gegedu"So mnagegegduana🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Gegedu"So mnagegegduana🤣🤣🤣🤣
Team nape nnauye,Tatizo kubwa ni kujichukulia sheria mkononi
Kuna Watu wako single ila wanapata mahitaji yao na kampani zaidi kuliko walio kwenye mahusiano[emoji4]Anyways sina chakufanya ila ushauri wangu .
Ni huwezi ishi maisha yote single .
Unakuwa hujakamilika kabisa
Tunakua busy sana na mambo au mishe zetuTuwe serious na hili tokea 2019 mpaka sasa kuna mtu hajaolewa na kuna mtu hajaoa mpaka sasa leo hii mtuelezee matatizo mnayokumbana nayo ili muweze kutoa dukuduku zenu.
Halafu kingine ninaomba kujua kama mpo single mnaishije? Tuambizane.
Changamoto mnazokutana nazo.
Nipo serious
Wewe hukosi hela hadi hiyo siku bhanaUnaona ...sasa kadi laki kweli unadhani kweli tutaoa sie boda boda?
Wacha tuendelee na hawa vibingi vya fomfoo na wake za watu
Mmh!Kuna Watu wako single ila wanapata mahitaji yao na kampani zaidi kuliko walio kwenye mahusiano[emoji4]
Unajimwambafai sioHutoweza kuja kwa sababu ipo njee ya uwezo wangu inafanyika zanzibar sasa hatuna tiketi za ndege za wageni za buree waliochangia tu ndio walijumlishwa ila tutakuja dar baada ya honeymoon nitakuinbox uje utupe hongera na my wangu.
Haya ndio mambo sasa pauTunakua busy sana na mambo au mishe zetu
mapenzi yanakuja pale tukiwa na hamu
zikiisha tunasepa 😌
Usikae sana mwishoe useme anaye pumua tuu anatoshaTunaishi kwa imani,tukiamini kwamba ipo siku tu tutatoboa😂
Nani??Ngoja kwanza nitafute hawa viumbe sikuizi wanajiona wolrd bank
Ndo nipo hiyo steji🤣🤣🤣Usikae sana mwishoe useme anaye pumua tuu anatosha
Hutaki tena utamu wa mgeggedo🤣🤣🤣🤣Ndo nipo hiyo steji🤣🤣🤣
Nawaza sijui nikawe sista maana ni muda😵💫🤣🤣🤣