Mlioacha kutumia pilipili mliwezaje? Licha ya kunidhuru kila ninapotumia nimeshindwa kabisa kuacha ulaji wake

Mbona hujaomba namna ya kuacha Pombe?
 

Umeenda kupima afya yako ukajua kama haijakuathiri?
 
Inanoga sana hususani pale unapotupia chakula mdomoni unang'ata na kipande cha pilipili
 
Inanoga sana hususani pale unapotupia chakula mdomoni unang'ata na kipande cha pilipili
Weweee hizo ndo zangu sasa. Nikishika ile pilipili mbuzi inayonukia vizuri sana, huku kuna ugali wa nyama choma na mboga kwa mbali...
 
Na napenda pilipili ikolee sawasawa hapo nikila stimu zipanda kichwani ubongo unachangamka mpaka nahisi pilipili inasaidia kuongeza akili maana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kaka hapa umetupiga kamba waziwazi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kaka hapa umetupiga kamba waziwazi
Na hali hiyo inafanya iwe ngumu kuacha kila nikifikiria jinsi ubongo unavyokuwa stimulated kwa kasi ya ajabu naona kabisa kwenye pilipili kuna ujiniaz mwingi .
 
Na hali hiyo inafanya iwe ngumu kuacha kila nikifikiria jinsi ubongo unavyokuwa stimulated kwa kasi ya ajabu naona kabisa kwenye pilipili kuna ujiniaz mwingi .
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sigara sivuti kabisa ila wananikera wavutaji njiani moshi wao nikipata hata kidogo kwa dakika zile chache nakohoa vibaya mno natamani hata Nipigie shaba hawa watu wanaovuta masihara na bangi hovyo njiani au kwenye mikusanyiko bila kujali wenzao.
We una allergy Kama Mimi mkuu, una damu group O mkuu?!
 
Na hali hiyo inafanya iwe ngumu kuacha kila nikifikiria jinsi ubongo unavyokuwa stimulated kwa kasi ya ajabu naona kabisa kwenye pilipili kuna ujiniaz mwingi .
Ingekuwa hivo wahindi wote wangekuwa majiniaziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…