Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Habari wana jamvi? ππππ€ͺπ€ͺπ€ͺππ
Nacheka kwa dharau sana hasa waliokurupuka kuchukua form na kuangukia pua kama paskal Mayala,Stive Nyerere,Gwajma n.k
Kwanini nawacheka? Ukiangalia wengi wamekurupuka kisa JPM anadaiwa kurudisha heshima chamani na ni mchapa kazi sana. Kutokana na wapinzani wengi kuunga mkono juhudi huenda ikawa rahisi kukubalika. Wengi wakaamini kwa sababu ni watetezi wa serikali huko mitandaoni,makanisani na sehemu zingine itakuwa rahisi kufikiriwa(sio kwa sera)
Watu wanashindwa kutofautisha umaarufu wao kwenye jamii na umaarufu wao kwa wajumbe wa CCM,hii ndio imefanya wengi kuanguka katika uchaguzi.
Anasema, Idriss Sultan "Juzi nimekaa nikafikiria, unakuta mtu anakimbizana na siasa miaka zaidi ya 10 na kawa mwanachama kindakindaki, hope yake awe kiongozi alafu anakuja msanii na followers wake ambaye amekuwa active kwenye chama wakati wa uchaguzi tu, kama mjumbe UTAKUBALI AKUPITE KWELI ???".
Hii ni kweli kabisa lazima mtu ukitafakari vizuri sana. Wewe unajikuta ni maarufu mitandaoni ni hodari wa makala au maarufu kwenye televisheni au radio unataka kutumia huo umaarufu kwenda kuchukua fomu kisa una uwezo wa kulipia hiyo laki 1 unasahau kuna wanachama wanazi kweli kweli wao uchaguzi mpaka uchaguzi ni harakati tu. Wewe harakati zako ni unapokaribia uchaguzi hujioni kama umetamani ubunge? Utakuwa na sera kweli?
Siku nyingine msirudie tena, endeleeni kuomba huenda mkakumbukwa siku Magufuli akiamka vizuri.
(Mchambuzi mdogo wa mambo ya kisiasa na kijamii)
Nacheka kwa dharau sana hasa waliokurupuka kuchukua form na kuangukia pua kama paskal Mayala,Stive Nyerere,Gwajma n.k
Kwanini nawacheka? Ukiangalia wengi wamekurupuka kisa JPM anadaiwa kurudisha heshima chamani na ni mchapa kazi sana. Kutokana na wapinzani wengi kuunga mkono juhudi huenda ikawa rahisi kukubalika. Wengi wakaamini kwa sababu ni watetezi wa serikali huko mitandaoni,makanisani na sehemu zingine itakuwa rahisi kufikiriwa(sio kwa sera)
Watu wanashindwa kutofautisha umaarufu wao kwenye jamii na umaarufu wao kwa wajumbe wa CCM,hii ndio imefanya wengi kuanguka katika uchaguzi.
Anasema, Idriss Sultan "Juzi nimekaa nikafikiria, unakuta mtu anakimbizana na siasa miaka zaidi ya 10 na kawa mwanachama kindakindaki, hope yake awe kiongozi alafu anakuja msanii na followers wake ambaye amekuwa active kwenye chama wakati wa uchaguzi tu, kama mjumbe UTAKUBALI AKUPITE KWELI ???".
Hii ni kweli kabisa lazima mtu ukitafakari vizuri sana. Wewe unajikuta ni maarufu mitandaoni ni hodari wa makala au maarufu kwenye televisheni au radio unataka kutumia huo umaarufu kwenda kuchukua fomu kisa una uwezo wa kulipia hiyo laki 1 unasahau kuna wanachama wanazi kweli kweli wao uchaguzi mpaka uchaguzi ni harakati tu. Wewe harakati zako ni unapokaribia uchaguzi hujioni kama umetamani ubunge? Utakuwa na sera kweli?
Siku nyingine msirudie tena, endeleeni kuomba huenda mkakumbukwa siku Magufuli akiamka vizuri.
(Mchambuzi mdogo wa mambo ya kisiasa na kijamii)