Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Si ndio maana pm za id mpya huwa sijibu.Not your fault ila ndo keshakuinjoi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio maana pm za id mpya huwa sijibu.Not your fault ila ndo keshakuinjoi sasa
Tena nakuona tu ulivyokazana kuizoea, shaurilo.Nitumie pm I'd yako mpya nisije nikakutongoza mimi
[emoji23] [emoji23] umetishaSi ndio maana pm za id mpya huwa sijibu.
Sio vizuri kumtega kaka yako [emoji3][emoji3]Tena nakuona tu ulivyokazana kuizoea, shaurilo.
Yaani subiri siku ya kuonana ndio utafurahi na nafsi yako atakapotokea dada yako badala ya sweetie[emoji3] [emoji3]Sio vizuri kumtega kaka yako [emoji3][emoji3]
Kwahiyo huo mtego haunikamati.[emoji23] [emoji23] umetisha
Haha nitakukimbiaje nitafanya kama yule jamaa wa uzi wa jana. Naweka cctv nikishaona sura yako pana natoka nduki [emoji125] [emoji125] [emoji125]Yaani subiri siku ya kuonana ndio utafurahi na nafsi yako atakapotokea dada yako badala ya sweetie[emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha nitakukimbiaje nitafanya kama yule jamaa wa uzi wa jana. Naweka cctv nikishaona sura yako pana natoka nduki [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Eeh nyie najibu kabisa bila tatizo, lakini ghafla bin vuu id mpya, 'machale kundesa'Heri yetu wenye ID za zamani.....
Kwakweli ktk hilo nakuwa mwingineeee, namchora tu kaka yangu anavyotupia tongozo, mwenyewe anijipiiinda kujielezea kwa mtu anaemfahamu in out.Ha ha ha ha....Be You...🙂🙂
Hahaha.. JF raha saana unaweza mtongoza mkeo kwa mara ya pili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nami nitakuwa nakutega utokee kwanza ndio nitokee, kumbuka wewe nakufahamu ila wewe wakati huo unawaza unakutana na mwingineee kumbe mimi dada yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]Hahaha.. JF raha saana unaweza mtongoza mkeo kwa mara ya pili
[emoji16][emoji16]. Unaomba utumiwe namba. Ukirushiwa ya wife au sister. Ndiyo maana watu wanabadilisha I'd wengine wanazitelekeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]
Uko busy kumbe unatongoza mkeo, hizi fake id noma sana. Au unajikuta unamtongoza ndugu yako.