Mliobadili ID....

Umri wa kustaafu kwa hiari umefika....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umri ukifika unadhani utasema basi kaka yangu!! Utajikuta tu unajitoa. Majukumu yatakubana, unataka kushika simu unasikia "babaaa nisaidie home work, mar babaaa mtoto anapatikanaje...."
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani umenifanya nicheke!!
Haya nasubiri thread yako, nitalia kweli siku hiyo.
Nitajitoa halafu naibuka na new ID....sasa changamoto kuuacha u-nshomile....utanishtukia tu!
 
Nitajitoa halafu naibuka na new ID....sasa changamoto kuuacha u-nshomile....utanishtukia tu!
Yani nitakukamata alafu nakupa tit for tat. Ila ni kama kaujanja fulani ili mtu aje na id mpya, ili msishtuke maana mtakuwa mnajua yule alishajitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…