Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo "mchumba" atakuwa kambana,chezea mambo ya w.end[emoji12]
Jitoe tu bwana ila ukija na id mpya nikikudaka nakufungulia uzi.Nakuja kuwaaga rasmi najitoa Jf...
Kafanyaje ten!! Au this time mlikwenda wote kuangalia mpira?Huyu "mchumba".....
Heaven Sent na Daby ndio sijui wako pori gani. Mimi na wewe tu ndio tumebaki humu.Acha tu, weekend hizi watu wanafichwaa! [emoji38]
Haha!, nasikia ni trend mpya na hutaki kupitwa.Nakuja kuwaaga rasmi najitoa Jf...
Kuwahi ni 6am, hongera sana. [emoji106]Leo nimewahi kurudi, 6am....
Tupo nao humu...🙂🙂Heaven Sent na Daby ndio sijui wako pori gani. Mimi na wewe tu ndio tumebaki humu.
Mnunue tv mbili, ya tamthilia na ya mpira ili mrahisishe kazi, au ndio unatafuta sababu ya kuondokea!Leo zamu yake....ameamka na Isidingo sijui itaisha saa ngapi niangalie mpira...🙁🙁
Hata wewe sasa hivi muda wa isidingo ndio umeachiwa!!Tupo nao humu...🙂🙂
Mtaweka jikoni.Hio ingine nitaweka wapi? Chumbani kwangu tv marufuku. Chumbani kazi ni moja tu....kulala.
Asee!, Hongera zao sana. HS wa kumwaminia, huyu Db hope atarudi usalimini.Heaven Sent na Daby ndio sijui wako pori gani. Mimi na wewe tu ndio tumebaki humu.
Daby sijui yuko na mmama gani kamficha huko. Heaven Sent atakuwa kwa Benny maana sidhani kama ameshaanza kuchepuka na Bonny.Asee!, Hongera zao sana. HS wa kumwaminia, huyu Db hope atarudi usalimini.
Hio ingine nitaweka wapi? Chumbani kwangu tv marufuku. Chumbani kazi ni moja tu....kulala.
Mtaweka jikoni.
We kazi ni moja tu kweli.......!!!!