Mliobadili ID....

Mliobadili ID....

Kazi juu ya kazi....kazi moja tu...kulala.


Na ndio inavyotakiwa lakini. Wataalam hawashauri kuweka tv bedroom or kuangalia any kind of device kwa muda mrefu kabla ya kulala, kama mtu anataka kupumzika vizuri.
Lakini wengineo hapa tumejiwekea sheria zetu wenyewe.
 
Na ndio inavyotakiwa lakini. Wataalam hawashauri kuweka tv bedroom or kuangalia any kind of device kwa muda mrefu kabla ya kulala, kama mtu anataka kupumzika vizuri.
Lakini wengineo hapa tumejiwekea sheria zetu wenyewe.
Hiyo ya kutokuangalia device yoyote kwa muda mrefu kabla ya kulala ilishanishinda[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Hiyo ya kutokuangalia device yoyote kwa muda mrefu kabla ya kulala ilishanishinda[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hio device ina include Techno yangu?
 
Back
Top Bottom