ha ha ha usinifanyie hivo alafu umeona sasa hii ID yako kwangu mpya!! ina maana utakua nawe umebadili jina eh maana kule sijawahi kugongana na wewe!! hahah.
Alafu kule nilipigwa stop na baba watoto!! nisiingie si unajua balaa la kule full kuamsha vilivyo lala..haha
mweeh utaingiza hela saa ngapii alafu we mtoto kule pashakuaribu mitarequst mode wakutoe hahah[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Athubuh kuamka muhimu sisy...
Hahhahhahhha siri za kambi hizo sisy... Kwan wee unaamkaga saa ngap??mweeh utaingiza hela saa ngapii alafu we mtoto kule pashakuaribu mitarequst mode wakutoe hahah
ha ha ha msitufanyie hivo atii mnatuchanganya!! tutashindwa kuchunguza nyendo zenu humuKwi kwi kwiii huenda mii ndo nanihii hujui tu mii ndo nakuambia tumegongana mnoo yani vyakutosha.
Kupigwa stop ametenda haki mana kule waeza msingizia shetani buree
Nyi mnataka kumpinga Mwenye Enzi kizazi cha sasa sijui mpojee mwanamme anamamlaka kwa mkewe na mke ni mtoa ushauli tu.ha ha ha msitufanyie hivo atii mnatuchanganya!! tutashindwa kuchunguza nyendo zenu humu
Kwahiyo ndo umesuta hivyo kisa tu nimekwambia twataka tuwachunguzeee[emoji19]Nyi mnataka kumpinga Mwenye Enzi kizazi cha sasa sijui mpojee mwanamme anamamlaka kwa mkewe na mke ni mtoa ushauli tu.
Halafu nani kakuambia mwanamme anachunguzwa?au humtaki unachunguza ili upate sababu ya kuachwa?
Nakushauli usimchunguze jali maisha yenu ndani wewe ndo mlezi ujue
Yiwacheni tu kutuchunguza kutawaleteeni matatizo nyinyi wenyewe umemchoka mwambie tuKwahiyo ndo umesuta hivyo kisa tu nimekwambia twataka tuwachunguzeee[emoji19]
Unataka nikujibu kuna mvua ili unambie unahisi baridi....[emoji124] [emoji4] [emoji4]Umeamkaje? Kwenu kuna mvua kama kwetu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Unataka nikujibu kuna mvua ili unambie unahisi baridi....[emoji124] [emoji4] [emoji4]
Joto ninalo la kutoshaaa. ...[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Utakua wa zamani wewe umejuaje sasa
Hivi kweli sio atoto wewe?
Mimi ni branget zuri sana kwako hutaki joto wewe?
Ndo nalitaka hilo joto linisambazie upendo asee[emoji8]Joto ninalo la kutoshaaa. ...
Toka mi si atoto kwanza simjuiii
Mbn leo umemtaja sanaaa unampendaeeee[emoji4]
Haha
Hahahaaaa!!! Kashanijibu, na aliponijibia siwezi kukutag, sas sijui tunafanyaje!!Akikujibu nitag....
Basi kama umeshindwa kunitetea namwachia MunguMe mwenyewe ushanishida tabia mdogo wangu.
Mkuu huyu atoto kashabadilisha anajiita espy na anabikira sasa hivi.Wapi kina heavent sent, mamdenyi, miss strong, tumboo, atotoo, mamaafacebook mtoto wa tanga, na wale magwiji wengine wa MMU? Hawa nina uhakika wapo humu tena very active ila kwa id zingine!