Mliobadili ID....

Daby uzuri humu hata ukila ban we unachofanya unaenda tu Ku review kwenye orodha ya ID's zako kisha unaingia kivingine.

Leo kuna Ujio flan una reflect hizi ban za Leo.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daby uzuri humu hata ukila ban we unachofanya unaenda tu Ku review kwenye orodha ya ID's zako kisha unaingia kivingine.

Leo kuna Ujio flan una reflect hizi ban za Leo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Haha. .. leo ukoo wangu umechezea ban aseeh.
 
Haha.. wewe silence killer aseeh
Hapana nna bahati mbaya sana ya kuonana na mtu mmoja kila id nnayo jaribu nakuja kugundua ndo yuleyule najinyamazia tu sasa mana hata hiyo ya karanga2 nnashaka nayo
 


Kumbe mdogo wako kaopoa?, mpe hongera! 🙂
 
Hapana nna bahati mbaya sana ya kuonana na mtu mmoja kila id nnayo jaribu nakuja kugundua ndo yuleyule najinyamazia tu sasa mana hata hiyo ya karanga2 nnashaka nayo
Mkuu kuna sakata limetokea hizi siku mbili tatu na wewe umepotea hizi siku mbili tatu....kuna uhusiano wowote wa kupotea kwako na hili sakata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…