Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ahhahaha analazimisha hadi undugu?Ndio.
Tuondoke kwenda wapi? Mwanangu ana adabu debe ila hauzideserve hata robo. Alafu tayari yuko kwa mumeweeee.
Huo ushauri wako ungeutumia ungekusaidia angalau uache kuhangaika na dunia maana hata hao unaowaita kaka zako ni vile wanakuonea aibu tu ndugu yao ila na wao hawakutaki maana unachafua jina la ukoo(japo ulilazimisha ukoo nao)