Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Genta...SPY MBOBEZI katika ubora wako!
 
Nina uhakika mimi ninaishi maisha ya raha sana pamoja na amani kuliko wateule wa Magufuli.

Maana huko kuchambwa sio kwa kawaida. Hapo kachambwa Majaliwa, Mkewe na Wananchi wa Lindi teh teh teh!

Dada Mange kamharibu sana rais wetu kipenzi.
 
Jifundishe mwenyewe hilo kama mpaka leo ulikuwa hujui hili. Ndio maana mambo ya serikali hii Mungu wa Mbinguni anatajwa sana. Tumesahau kwa kipindi sasa miungu ya Mlingoti. Nchi tulijilani wenyewe. Na kwa uwezo wa Mungu wa mbinguni huko hatutarudi tena. Hata kama mtajitahidi kuwashambulia viongozi wa dini waliokata shauri kusimama na serikali hii.
What are you talking about, stupid?
 
Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
Kumbe hata wewe saa zingine unakuwaga fala hivi...!? Sasa kujipendekeza unakokuzungumzia si ndio hivi na wewe unafanya!?
 
Majaliwa ana siku chache sana za kuwa Waziri Mkuu. Ajiandae kisaikolijia.
Kama kuna JF Member aliyetoa Jibu Kuntu ( sahihi ) kabisa tena kwa 100% na ndiyo nilikuwa nalo pia ni Wewe Mkuu. Heko sana 'Jamaa' hadumu.
 
Kama kuna JF Member aliyetoa Jibu Kuntu ( sahihi ) kabisa tena kwa 100% na ndiyo nilikuwa nalo pia ni Wewe Mkuu. Heko sana 'Jamaa' hadumu.
Natabiri issue ya saruji ina walakini....
 
Kama vp washa VPN Ila Majaliwa anatoboa hapo na ndo president 2025

Ila mimi wa peoples power lakini wakipeleka majina ya viti maalumu nawaaama mchana kweupe
Mungu hadhiakiwi, anaweza asimaliza hata mwaka huu Mungu akampenda zaidi.

Wanadamu mmejaa kiburi cha uzima wakati hamuijui saa wala siku, wewe ni umavumbi na mavumbini utarejea.
 
Pamoja na YOTE ni RAIS MAGUFULI Pekee anayetukumbusha kuwa HATA sisi wanyonge tunaweza kupata nafasi za KUHUDUMU popote pale na si tu ile "CIRCLE" iliyojichimbia ndani ya CHAMA na mamlakani....

JPM anatuondolea IMANI ya "umungu mtu" wa baadhi ya WATU waliotufikisha HAPA TULIPO....

Kwa JPM kesho YA MWANASIASA haijulikani....

Maendeleo Hayana Vyama
Hiyo CIRCLE uliyotaja sidhani kama itakuja kukatika kwa ulimwengu huu tulionao na mifumo yetu Africa...






ukitaka sababu nakupa
 
Kupongeza ni uungwana na ustaarab kumkalia kimya aliyekupongeza si ustaarab ni kibri na majivuno pia ni machukizo mbele ta Mungu
Hivi hata wewe ungeambiwa umeapa vizuri ungejibu nini?

Pumbavu kabisa.
 
Nimependa sana angalizo la rais kwa PM. Ni kumjenga atimize matarajio ya wananchi na si kutumia cheo kile kwa manufaa yake na mkewe tu. Pia nimegundua Rais anampenda sana PM na aweza kuwa ni yeye 2025 kama ataogelea ktk angalizo la Leo la Rais. Majaliwa anabahati sana kwa kupewa area of concetration za mtihani wake wa 2025 tena in public
 
Hii issue ya saruji itaondoka na kichwa cha mtu muda ni wakati mzuri tusubiri.
Mimi siyo mtabiri,
lakini issue ya Korosho ilimkosakosa mtu lakini this time kuna mtu anajipeleka kibla kabla ya muda
 
Mimi Nadhani pengine Rais magufuli alikosa wa kumteua uwaziri mkuu, Hivyo hayo yote ni kumtaarifu majariwa ya kwamba mda wowote akiona chuma kingine kinafaa atamteua

Hivi mtu kama Dr Charles kimei ni wa kua mbunge tuu ?? Nasubiria kuona makubwa kutok kwake
Kimei ni Mchaga.
 
Back
Top Bottom