Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mawazo ya kumwabudu huyo beberu wenu Amsterdam mtayaacha lini?Je, yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya kumwabudu huyo beberu wenu Amsterdam mtayaacha lini?Je, yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo
Tuondoleee umbea wa kijita hapa. Kamuulize JPM mwenyewe aliyemteua huyo Majaliwa. Tatizo unajifanya mjuvi wa mambo na kupenda kutafsiri kila jambo. Kiherehere.
Utaondowa wangapi sasa? Wakati Mabeberu kibano chao bado hata kuanza?Hii issue ya saruji itaondoka na kichwa cha mtu muda ni wakati mzuri tusubiri.
Hapana. PM atabakia kuwa PM bila kujalisha kaapa pamoja na nani. Hadhi yake ni ya kikatiba na atabaki kuwa kiongozi wa mawaziri..Kwanza Magufuli ameshusha hadhi ya waziri mkuu..huwezi kumwapisha waziri mkuu ambae kimamlaka ni namba 4.ukamwapisha na mawaziri w kawaida kula kiapo
Huo ni uvunjifu wa heshima wa cheo kwa wateuzi wako.
Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati."Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Nimekosa hotuba yake naona pale ulikuwa mtafutano!Leo nimemkubali sana Rais Magufuli hasa kuhusu wabunge wanaoenda kuroga wawe Mawaziri!
Tatizo la vijana hawajui kusoma majira. Hawajui kuchambua parablesWewe mzee utachanganyikiwa,
Kwani hujui kuwa Majaliwa ndiye ajaye? Kama unaona kachukiwa jiongeze acha uchochezi
PM wa JPM ni Bashite au Mnyeti, KM atang'olewa katikati ya safari. Mark my words!"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Hakuna kibano chochote, mabeberu wanasubiri serikali iundwe washirikiane na serikali kujenga uchumi.Mnaosubiri kibano mngeongea na Lissu awamegee alichokikuta huko EU.Ndiyo maana ameamua kubadili gia angani, sasa anaomba maridhiano.Soon wabunge wa viti maalum kutinga bungeni. Wafuasi mnajipa moyo na ICC mmeliwa tigoUtaondowa wangapi sasa? Wakati Mabeberu kibano chao bado hata kuanza?
Wengi hawajuhi Nyerere hakungatuka kwa kupenda, alikimbia kibano cha Mabeberu na kumuachia zigo la mavi Mwinyi.
Kitu cha kutia moyo Magu ameonesha utayari wa kuondoka madarakani atakapomaliza muhura wake wa pili.
Sasa tunasubili mbunge kiherehere aje tena na hoja za kuongezewa muda albadiri itamuhusu.
Rekodi inamkataaKama vp washa VPN Ila Majaliwa anatoboa hapo na ndo president 2025
Ila mimi wa peoples power lakini wakipeleka majina ya viti maalumu nawaaama mchana kweupe
Hatuna chuki zozote ila nimesema ameshusha hadhi ya Uwaziri mkuu.Kiitifaki na hata Kikatiba ( katika Kiapo ) hakuna Kosa lolote au Uvunjifu wowote ule wa 'Kiutaratibu' amefanya. Pelekeni huko 'Chuki' zenu Kwake.
Najua PM Atabaki kama PM had 2025 hilo sina mashaka nalo .na huenda akaingia kwenye kinyang'anyiro cha URAISHapana. PM atabakia kuwa PM bila kujalisha kaapa pamoja na nani. Hadhi yake ni ya kikatiba na atabaki kuwa kiongozi wa mawaziri..
Hao wawili pamoja na wakuu wengine watahusika kuteua mawaziri wengine kwa kushauriana.
Kuhusu kauli za Raisi binafsi ninaona ni baraka kwa PM katika fumbo. Sina mashaka na utendaji wake.
Kama nilivyokuwa nimefikiria. Baada ya kutukanwa kote kule na hata kutishiwa shangazi yake….! Angesema asante. Hilo lingemjenga na pngine kujitokeza tena baadaye kama mtu who stood up to a bully!Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Najua PM Atabaki kama PM had 2025 hilo sina mashaka nalo .na huenda akaingia kwenye kinyang'anyiro cha URAI
Ndiyo imani yangu pia..Najua PM Atabaki kama PM had 2025 hilo sina mashaka nalo .na huenda akaingia kwenye kinyang'anyiro cha URAIS
Tatizo sio msafiMimi Nadhani pengine Rais magufuli alikosa wa kumteua uwaziri mkuu, Hivyo hayo yote ni kumtaarifu majariwa ya kwamba mda wowote akiona chuma kingine kinafaa atamteua
Hivi mtu kama Dr Charles kimei ni wa kua mbunge tuu ?? Nasubiria kuona makubwa kutok kwake
Pia kitendo cha kutaja orodha ya mawaziri wakuu wastaafu toka tupate Uhuru ni indicator kwa PM kaa chonjo kuna waliodumu kwa mwaka mmoja tu upmMajaliwa ana siku chache sana za kuwa Waziri Mkuu. Ajiandae kisaikolijia.