matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.
Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.
Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.
Ni hayo tu
Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.
Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.
Ni hayo tu