Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubuma au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Dose ya pili ni November
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubuma au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
230605756_2396685807142940_8252564083641687925_n.jpg
 
Chanjo muhimu

Uvuko mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• Uviko
• Sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti

• nk

Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie hata msipo choma hakuna neno
 
Chanjo muhimu

Uvuki mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• uviko
• sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti

• nk

Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie ata msipo choma hakuna neno
Hizo chanjo(codes siku ziki misbehave) humo mwilini hali itakuwaje
 
Ile ilikuwa kwa ajil ya kupata maokoto yetu toka west uko...tumepata
Wawe wanatushtua, unaweza kuingiziwa virusi wa ushoga kisa West. Tuwe tunatonyana tunaweka maji ya dasani badala ya kinga zao ili tuwafurahishe kwa akili.

West wale wamepinda sana. Hawaoni hasara kutoa kafara taifa zima.
 
Chanjo muhimu

Uvuki mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• uviko
• sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti

• nk

Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie ata msipo choma hakuna neno
Hatati sana.
 
Wawe wanatushtua, unaweza kuingiziwa virusi wa ushoga kisa West. Tuwe tunatonyana tunaweka maji ya dasani badala ya kinga zao ili tuwafurahishe kwa akili.

West wale wamepinda sana. Hawaoni hasara kutoa kafara taifa zima.
Mashoga nao wanafungu lao ili waeneze ushoga...
West wanapenda watu wavivu wa kufikiri
 
Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
 
Back
Top Bottom