Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?


Tujikumbushe kuwa wakati wa pandemic ya Covid-19 mashirika ya ndege karibu yote yalisitisha huduma isipokuwa Ethiopian Airline iliyofanya kazi muda wote bila kusita. Maelekezo mengi ya Dunia kuwekwa quaranteen yalitoka WHO kwa maelekezo kutoka Marekani. Tujikumbushe pia kuwa Boss wa sasa wa WHO, Dr Tedros ni muethiopia.....

.Je alijua kinachoendelea Duniani na kuwatonya mabosi wa Ethiopian Airline wasisitishe safari za ndege kwa kuwa COVID-19 ni mchongo?
.Je Rais John Pombe Magufuli wakati huo, alizinyaka hizi habari mapema na kutuokoa na Quaranteen ambayo ilikusudia kupeleka watu ahera kwa maelfu?
.Je chanjo za COVID-19 bado zinatolewa hapa nchini? kama bado zinatolewa bado ni kwa lazima?
 
Tujikumbushe kuwa wakati wa pandemic ya Covid-19 mashirika ya ndege karibu yote yalisitisha huduma isipokuwa Ethiopian Airline iliyofanya kazi muda wote bila kusita. Maelekezo mengi ya Dunia kuwekwa quaranteen yalitoka WHO kwa maelekezo kutoka Marekani. Tujikumbushe pia kuwa Boss wa sasa wa WHO, Dr Tedros ni muethiopia.....

.Je alijua kinachoendelea Duniani na kuwatonya mabosi wa Ethiopian Airline wasisitishe safari za ndege kwa kuwa COVID-19 ni mchongo?
.Je Rais John Pombe Magufuli wakati huo, alizinyaka hizi habari mapema na kutuokoa na Quaranteen ambayo ilikusudia kupeleka watu ahera kwa maelfu?
.Je chanjo za COVID-19 bado zinatolewa hapa nchini? kama bado zinatolewa bado ni kwa lazima?
Nilikuwa sijui.
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Mimi nilipata zote 3 na boooster zake na bado sijawa zombie, mazombie yote yapo ccm yanamshangilia muuaji na hayajachanja hata flu! Kuna haja kubwa sana ya kufanya tafiti za kujua why watanzania majority wana very low IQ. Na pia kujua why elimu haijawahi kumwelimisha mtanzania na nini mbadala wake ili ikiwezekana tufute kupoteza miaka shule tutengeneze namna yetu ya kuelimisha vizazi vyetu viweze kuchangia maendeleo ya dunia hata kiduchu tu kisichopimika! Maana tunasindikiza tu na kusubiri miujiza na Yesu arudi kama atarudigi!
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Wanakufa mmoja mmoja. Ndani ya miaka 5 waliochoma watakuwa wamekufa wote
 
Back
Top Bottom