Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Ile ilikuwa biashara ya makampuni ya mabeberu, hiyo chajo ilikuwa relevant huko kwao siyo huku Afrika ambako magonjwa ya mfumo wa upumuaji yakiwemo mafua yanayotokea kwa msimu hayajawahi kuthibitiwa kwa chanjo bali wale wanaoambukizwa hupata matibabu ya kawaida tu ya dawa za allergy, maumivu na wachache wanapewa antibiotics basi.​
 
Bila shaka hata kile cheti cha COVID ni batili,kina kazi gani wakati zile variant za uviko zimekwisha.
 
Waliochanjwa walikuwa wanasubiri wenzao wafe.

Na ambao hawakuchanjwa walikuwa wanasubiri waliochanjwa wageuke mazombie

IMG_1881.jpg



Jambo la msingi ni kuhakikisha unakaa macho (kimwili na kiroho).
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Wengi wanakufa vifo vibaya mno
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Moja ya uzi bora zaidi duniani.
Utapigwa sana mawe, ukweli una baki pale pale.
Maisha sio bendera fuata upepo!.

#NASIMAMA NA MIMI, CHANJO HAPANA.
 
JIONI MOJA, NILIPITA KITUO CHA MAFUTA, KUWEKA PETROLI.
BAADA YA KUJAZA TANK, YALIMWAGIKA KIDOGO NA SIKUSIKIA HARUFU YAKE.
NDIO NIKAKUMBUKA KWA SIKU TATU SISIKIII RADHA YA CHAKULA.
SIKUTUMIA DAWA YOYOTE, CORONA ILIONDOKA KAMA ILIVYO KUJA.... KIMYA KIMYA
 
Waliochanjwa walikuwa wanasubiri wenzao wafe.

Na ambao hawakuchanjwa walikuwa wanasubiri waliochanjwa wageuke mazombie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom