To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Safi❤Mimi nipo poa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi❤Mimi nipo poa kabisa
Ulitaka kuandika nn?[emoji1787][emoji1787] that z the truth. and none of them is will happen.
Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.
Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Unaweza tangulia ww kabla ya yule aliechomaTuliambiwa mtakufa.
Safi sana. Unaendelea na dozi au umepotezea
Mhh umewazaHivi na viongozi wetu hasa rais,mawaziri n.k waliambizana lini kuwa waache kuvaa barakoa?
Unapewa cheti cha kirusi A alafu kinachokuwinda kikutoe roho ni B.Bila shaka hata kile cheti cha COVID ni batili,kina kazi gani wakati zile variant za uviko zimekwisha.
😂 😂 😂Unapewa cheti cha kirusi A alafu kinachokuwinda kikutoe roho ni B.
Ila watu walikula sana matunda bila kupenda[emoji2][emoji2]Dah! Tupo zimetuongezea kasi ya kula matunda. Si machugwa na mengineyo lakini. Jiongeze na we mtu mzima
Na supu ya majani ya mkaratusi na mapera.😁😁😁Ila watu walikula sana matunda bila kupenda[emoji2][emoji2]
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Waliochanjwa walikuwa wanasubiri wenzao wafe.
Na ambao hawakuchanjwa walikuwa wanasubiri waliochanjwa wageuke mazombie
Wengi wanakufa vifo vibaya mnoKimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.
Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.
Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.
Ni hayo tu
Moja ya uzi bora zaidi duniani.Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.
Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.
Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.
Ni hayo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waliochanjwa walikuwa wanasubiri wenzao wafe.
Na ambao hawakuchanjwa walikuwa wanasubiri waliochanjwa wageuke mazombie
Mkuu vipi, Tunaandaliwa tukio jipya au , tushtuane hawa watu wekundu sio wema hawachelewi kubuni virusi vya kuwa mazombi.
Noma sana mwananguNdiyo sisi hao Mkuu