matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Wanalazimisha dunia nzima tuwe wajingaMashoga nao wanafungu lao ili waeneze ushoga...
West wanapenda watu wavivu wa kufikir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalazimisha dunia nzima tuwe wajingaMashoga nao wanafungu lao ili waeneze ushoga...
West wanapenda watu wavivu wa kufikir
Chanjo inadozi hahaha.Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.
Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Hahaha ulimpiga chenga mzungu, hahaha😀😀😀na tuliopata Vyeti bila kuchoma tunakomenti wapi 😀😀😀
Biashara za watu zile mkuuSiku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.
Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Nilikuwa naenda Kwa jirani sasa bila kile hutoboi, mtu akala 20 akaleta dakika 5 tu taarifa zikaja kwenye Simu nikatoboa Namanga bila shida na chetiHahaha ulimpiga chenga mzungu, hahaha
CCM chama changu hakina watu wa aina yako wasiojua kuandika neno maabaraChanjo muhimu
Uvuki mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• uviko
• sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti
• nk
Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie ata msipo choma hakuna neno
Hata mimi nilijua hivoSiku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.
Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
CCM Chama chako 60+years but a poor country shida sana msiwe mnajitambusha na Chama kilichofeliCCM chama changu hakina watu wa aina yako wasiojua kuundika neno maabara
COVID-19 Vaccine = Infertility in both Men and Women .Binafsi nlipata chanjo...am doing great.
Pamoja na mapungufu ya JPM, katika hili la chanjo apumzike Kwa amaniChanjo inadozi hahaha.
Ngoja tusiongee sana wasijepeperusha vijidudu kuforce ugonjwa kutukomoa
Ila hii dunia mkuu usipojiongeza anaweza kugeuzwa shamba darasa la mabeberu.
HahahahaCovid ilikuwa ni Test pana zaidi
Ilipima
1.Akili zenu.
2. Imani zenu.
3.Medical system strength
4.Uwezo was kuhimili milipuko ya magonjwa.
Mengine mtamaliziaga .
ila walichogundua Bado Bongo zenu Zina operate katika Frequency ndogo Sana Yani misukule.....Sheeplez ( Test Grounds )
Magu kwenye hili alikuwa mkweli wakatu dunia ilikuwa imepigana fix za maabarani.
Nasubiri Bill Gates analeta Nini kingine hasa wakati huu dunia imepagawa😂Hahahaha
Mimi nilisimama Church nikawaambia wasiogope kadudu ambako hakaonekani wakati wana Mungu mkubwa kuliko dunia. Walinishukuru sana.
Magu alikuwa mbele yao Unakumbuka Habari mbuzi na papa kipimo kinasoma +
Ulijuaje mkuu?COVID-19 Vaccine=Infertility in both Men and Women .
Nasubiri Bill Gates analeta Nini kingine hasa wakati huu dunia imepagawa😂
Siku hizi watu hawaelewi, wanaweza kumuhack na kushare njama zake online.Nasubiri Bill Gates analeta Nini kingine hasa wakati huu dunia imepagawa😂
You are doing great, yes indeed [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Binafsi nlipata chanjo...am doing great.