Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Chanjo inadozi hahaha.
Ngoja tusiongee sana wasijepeperusha vijidudu kuforce ugonjwa kutukomoa

Ila hii dunia mkuu usipojiongeza anaweza kugeuzwa shamba darasa la mabeberu.
 
Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Biashara za watu zile mkuu
 
Chanjo muhimu

Uvuki mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• uviko
• sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti

• nk

Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie ata msipo choma hakuna neno
CCM chama changu hakina watu wa aina yako wasiojua kuandika neno maabara
 
Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
Hata mimi nilijua hivo

Ila nilijiandaa kwa lolote mimi na familia yangu no chanjo
 
Covid ilikuwa ni Test pana zaidi
Ilipima
1. Akili zenu.
2. Imani zenu.
3. Medical system strength
4. Uwezo was kuhimili milipuko ya magonjwa.
Mengine mtamaliziaga.
ila walichogundua Bado Bongo zenu Zina operate katika Frequency ndogo Sana Yani misukule.....Sheeplez ( Test Grounds )
 
Covid ilikuwa ni Test pana zaidi
Ilipima
1.Akili zenu.
2. Imani zenu.
3.Medical system strength
4.Uwezo was kuhimili milipuko ya magonjwa.
Mengine mtamaliziaga .
ila walichogundua Bado Bongo zenu Zina operate katika Frequency ndogo Sana Yani misukule.....Sheeplez ( Test Grounds )
Hahahaha
Mimi nilisimama Church nikawaambia wasiogope kadudu ambako hakaonekani wakati wana Mungu mkubwa kuliko dunia. Walinishukuru sana.
 
Nasubiri Bill Gates analeta Nini kingine hasa wakati huu dunia imepagawa😂
Nasubiri Bill Gates analeta Nini kingine hasa wakati huu dunia imepagawa😂
Siku hizi watu hawaelewi, wanaweza kumuhack na kushare njama zake online.

Kama walivyoshare jamaa wa CNN wanaigiza kukwepa mabomu ya Hamas kumbe ili watupange wafuatiliaji kuwa na wao wamenusurika.

Dunia ina3ndeshwa kwa sanaa sio sayansi tena.
 
Back
Top Bottom