Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

Katika hizi biashara za networking naona 98% tunajua kua ni utapeli, labda niseme ivi kuna baadhi ya companies ndio haziko vizuri , ni sawa tu na biashara nyingine ambayo mtu anaweza anzisha na mwisho ikaenda ndivyo sivyo na kudondokea pua au ikaenda vyema akatusua. Binafsi naweza kushuhudia company moja tu ninayoifahamu, yenyewe bidhaa yake ni tofauti kidogo na zingine zooote. Kuna watu zaidi ya kumi kwa harakaharaka wengine wakiwa na vyeo maalumu selikarini wapo ktk company hiyo na wanapata pesa nzuri kama vile angewekeza ktk biashara nyingine na ikastawi tu.

Kinachokuja kuvuruga na kuona ni utapeli katika baadhi ya aina hii ya biashara ni pale baadhi ya companies kusema utatajirika haraka, kusema ukweli hakuna muujiza uo labda iwe kwa kagere,

Hivyo mimi naona ni biashara kama zilivyo biashara zingine za kawaida kama tigopesa mpesa nk

Kikubwa ni strategies zako tu katika kuiendesha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio kweli upewe wateja akati wateja ni deal mnawagombania kwa gharama upewe umekuwa nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh maskini RIP😂😂😂kajitafutia gonjwa la moyo bure

Alafu ndo kwanza wanandoa wapya...!nilimuask ushawah isikia sehem akasema hapana ...ndo ameisikia...eti oh kuna dk wa operation kaacha kazi ndan ya miez minne amejenga ghorofa..ati alikua anabadili magari wasap ndo mumewe kumuask ndo kumpa siri hyo .the following month mume kaacha kazi hahahaha
 
Duh ofisi ya q net?.Yaani hii kitu ni kama ina mtia uchizi mtu maana hawaambiliki kabisaa
Ni jana tu jirani yangu anniambia toka huko migodini njoo tufungue ofisi yetu tuanze kutajirika[emoji4][emoji4]..nikamwambia anza tu..watu wa qnet hao!kauza gari kaingia qnet[emoji1787][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi network marketing labda niende kutafuta mademu. Maana kuna mademu wazuri kweli ila naona akili hazipo kichwani.

Saiv wapo kama wawili hivi nachat nao. Nasubiri niwale kimasihara ili na me nikatoe ushuhuda kule kwenye uzi wetu pendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, atleast ulipunguza hasara mkuu[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah mwenyewe nilipelekwa na sister angu ulivyoambiwa ww na mimi niliambiwa hivo hivo mzee.bahati nzuri sikuwa na pesa tu ningetoa wanamaneno matamu mazuri ya ushawishi .
 
Aisee ckiwahi kuwaelewa hawa watu! Me nilifatwa na watu kibaoo...ooh korino wewe unapenda biashara so this kitu itakupa mafanikio!
Napenda biashara ndio ila c biashara yakuanza kumconvice MTU anunue bidhaa kwa hela ndefu....mwisho wa siku hanunui huku mdomo umechoka kwa kuongea na taya kuuma! Aku cwezagi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mstaafu mbibi wameshampiga million 4 za kuuza kiwanja chake.
Hapa wanamvizia apate pesa ndefu zaidi maana ana tarajia kupokea si chini ya 40m wanataka kumpiga.
Huyu bibi hata unieleweshe vipi haelewi a naamini mahela yatamiminika kwa akaunt yake.
Goodmorning Business partner[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmepitia comments zote sas nmepata jibu fasaha kwa jamaa ang alonialika qnet. ..maana simu zimekua too much had nahis kumshusha viwango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…