yuclighty
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 676
- 322
Katika hizi biashara za networking naona 98% tunajua kua ni utapeli, labda niseme ivi kuna baadhi ya companies ndio haziko vizuri , ni sawa tu na biashara nyingine ambayo mtu anaweza anzisha na mwisho ikaenda ndivyo sivyo na kudondokea pua au ikaenda vyema akatusua. Binafsi naweza kushuhudia company moja tu ninayoifahamu, yenyewe bidhaa yake ni tofauti kidogo na zingine zooote. Kuna watu zaidi ya kumi kwa harakaharaka wengine wakiwa na vyeo maalumu selikarini wapo ktk company hiyo na wanapata pesa nzuri kama vile angewekeza ktk biashara nyingine na ikastawi tu.
Kinachokuja kuvuruga na kuona ni utapeli katika baadhi ya aina hii ya biashara ni pale baadhi ya companies kusema utatajirika haraka, kusema ukweli hakuna muujiza uo labda iwe kwa kagere,
Hivyo mimi naona ni biashara kama zilivyo biashara zingine za kawaida kama tigopesa mpesa nk
Kikubwa ni strategies zako tu katika kuiendesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachokuja kuvuruga na kuona ni utapeli katika baadhi ya aina hii ya biashara ni pale baadhi ya companies kusema utatajirika haraka, kusema ukweli hakuna muujiza uo labda iwe kwa kagere,
Hivyo mimi naona ni biashara kama zilivyo biashara zingine za kawaida kama tigopesa mpesa nk
Kikubwa ni strategies zako tu katika kuiendesha
Sent using Jamii Forums mobile app