Hahahahahhh...Umenichekesha sana kama nakuona vile.Mi kuna siku wale wa stem cells,nilikua zangu mcity mgahawan napata juice wadada wa4 mara hao kwenye meza yangu,
Wakaanza ongea pale maneno meeng,mapicha kibao,na product zao .eti in a month ntaingiza $20,000...
Skujib neno hata moja,..mwisho nkawatolea jib tuu kua
"Dada zangu,...wrong person"..taften wengne wale kule,mi nazijua vzur hzo ishu kuliko nyie...wale wadada ikabid wajikusanye waondoke.
Ukiingia kichwakichwa umeliwaHawa ni matapeli..nasema tena hawa ni matapeli..alafu ckuiz yemeenda kwa walimu wastafu humo kijijini ili ukijiunga wewe uliye stafu ni rahis kuwa na hzo ml 4 na comcomvice mwenzie ajiunge hata kwa mwalimu ambaye hajastaff ili iwe rahic wewe uliyestaff inakuwa rahic kumlipia hyo ml 4 yaaan ni matapel kabsa hzo ella ml 4 fanya kitu cha msingi cyo kuingia nazo qnet na allayance me niliendaga kwenye seminer zao nilkaa kidgo nikatokea mlango wa pil..yaan watz tunatekwa na vitu vdogo sana kwa kukosa maarifa mpka na leo jamaa yangu aliweka ml4 anajuta anahaha mana ili uinuke au ufanikiwe ni lazima umtafute mwenzko wa ml 4 ajiunge ndo utafanikiwa otherwise utasugua bench mpk ujute maisha yako yote
njoo kwenye forex unakua unaioona hela ileee inapoteaUkiingia kichwakichwa umeliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee hapo kwenye ushihuda ka makanisa ya manabiiOooh Jeief itabaki kuwa juu, I was about kuingizwa kingi na rafiki yangu mfilipino tulikutana humu mitandaoni akaanza kunipa sound hz ananirushia watu wa Uganda matajiri waliotoka thro AIM global [emoji23] [emoji23] picha linaanza wakanialika semina kule mikocheni nikaenda kuona watachozungumza aise wako vzur kwenye ushawishi yani wale madogo ma motivation speaker sijui walisomea wapi unaweza acha kazi ukaanze biashara ile ,wamepiga suti wako kisharobalo unaweza sema pesa iko hapa [emoji23] [emoji23] ila nilipoangalia type ya washiriki kuna kitu kikagonga kichwani yani wameweka mapandikizi wa kushangilia na kutoa ushuhuda nikajua this is another Deci.
Ukianguka vumilia, we inuka KIMBIA...... na hata ukiumia.Kimbia. Kimbia. Ongeza speed kimbia.
Inasikitisha mno mkuu.Pyramid schemes, ni za K’ Sana.
Tatizo, wale wanaokuletea business, wanafanya juu chini ili waweze kukulaghai, ujiunge. Na ukisha jiunga, you are in for it, I mean unakuwa umeshaliwa bila ya wewe kujijua.
Wazungu wanasema “Pyramid scheme is whereby a person is fooled and trained to fool others so as to earn unreliable money expected to be earned from the double fooled ones who are also known as newbies”
Kwa maoni yangu, bora hata biashara ya Crypto currence. Unaeza ukajinunulia coins zako za kiasi kadhaa, baada ya muda unakuja kushangaaa bei imeshuti ukaziuza. Bei ikishuka, unanyuti nazo hadi soko lije kuchangamka tena.
Mkuu tupe testimony acha ubinafsi...Jua kuwa ukitoa ushuhuda dhahiri utatutoa tongotongo wengi humu.Huu uzi haujatendewa haki kukata kiu ya wengi, hadi hapa hakuna anayetoa ushuhuda wa kufanikiwa.... mi nilishauriwa nisimwambie mtu hivyo nitazingatia hilo kulinda uaminifu wangu.
hahahaha dah..Tunawasubiri,sana sana watakuja na story za Qnet kuidhamini Man City
Oriflame haina wizi aise me nimejiunga kwa matumizi binafsi na familia. It's great.njoo oriflame madam kampuni ya urembo asilia unajiungakwa 10,000 elfu kumi unaamua mwenyewe kama umejiunga kwa biashara au matumiz binafsi kampuni yetu inashika nafasi ya 2 kwa ubora wa bidhaa dunian.its made from sweden,inspired by natural of beauty
hahahaha huyu muitaliano Carlo Ponzi aliwalamba wengi sana.!!Kuna nyingine wanaita PONZI SCHEMEs, nao ni wizi kama huu wa pyramid schemes
With Ponzi schemes, investors give money to a portfolio manager. Then, when they want their money back, they are paid out with the incoming funds contributed by later investors. With a pyramid scheme, the initial schemer recruits other investors who in turn recruit other investors and so on.
Huwezi kufanikiwa wakti ulihudhuria session 1 hapo kuna hadi session 4 ndipo unajiunga nao acha uhongo wwMimi nimefanikiwa mkuu! Nilihudhuria session ya kwanza ya Qnet, kwa sababu tu jamaa aliniambia njoo utakuja kuona huku.
Mafanikio niliyopata ni kuwa mbio nilizotoka hapo ziliniwezesha ku qualify kwa olympic
Umesoma alichokiandika hadi mwisho, au umekurupuka?Huwezi kufanikiwa wakti ulihudhuria session 1 hapo kuna hadi session 4 ndipo unajiunga nao acha uhongo ww